Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu

MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo. 

Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.

Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi holela unachangia kudorora uchumi

Kwa miaka ya hivi karibuni suala la ujenzi holela wa makazi limezidi kuongezeka katika maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

StarTV

‘Ukosefu wa hifadhi za jamii unachangia umasikini’.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha.

 

Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya zanzibari Balozi Selfu Ali Iddi amesema Serikali ya Tanzania bado ina kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa watu wake wanaondokana na umasikini uliyokithiri, hususani wakati huu ambapo Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF, inaingia katika awamu ya tatu huku kukiwa bado kuna idadi kubwa ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini.

 

Balozi SeIf Iddi ametoa kauli hiyo Jijini Arusha katika mkutano wa kimataifa wa kinga...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa mawasiliano ya simu Nyasa unachangia umasikini

Wakazi zaidi ya 15,000 katika kata za Liwundi, Ngumbo na Mbaha mwambao mwa Ziwa Nyasa mkoani Ruvuma wanakabiliwa na changamoto ya kukosa mawasiliano ya uhakika ya simu hali inayochangia kuongezeka kwa umaskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikika: Urasimu unachangia fedha za Ukimwi kutotumika

UCHELEWESHAJI wa fedha kutoka Hazina na urasimu uliopo katika matumizi ndiyo sababu  iliyosababisha kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya Ukimwi kutotumika kwa mwaka wa fedha 2013/14. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Umasikini unachangia vifo saratani shingo za kizazi’

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Dk Faisal Issa amesema umaskini unachangia kwa kiwango kikubwa wanawake kupoteza maisha, kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani