Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...
11 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu
MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo.
Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.
Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Ujenzi holela unachangia kudorora uchumi
10 years ago
StarTV16 Dec
‘Ukosefu wa hifadhi za jamii unachangia umasikini’.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya zanzibari Balozi Selfu Ali Iddi amesema Serikali ya Tanzania bado ina kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa watu wake wanaondokana na umasikini uliyokithiri, hususani wakati huu ambapo Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF, inaingia katika awamu ya tatu huku kukiwa bado kuna idadi kubwa ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini.
Balozi SeIf Iddi ametoa kauli hiyo Jijini Arusha katika mkutano wa kimataifa wa kinga...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ukosefu wa mawasiliano ya simu Nyasa unachangia umasikini
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Sikika: Urasimu unachangia fedha za Ukimwi kutotumika
UCHELEWESHAJI wa fedha kutoka Hazina na urasimu uliopo katika matumizi ndiyo sababu iliyosababisha kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya Ukimwi kutotumika kwa mwaka wa fedha 2013/14. Mkurugenzi Mtendaji wa...
9 years ago
Mwananchi07 Oct
‘Umasikini unachangia vifo saratani shingo za kizazi’