Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikika: Urasimu unachangia fedha za Ukimwi kutotumika

UCHELEWESHAJI wa fedha kutoka Hazina na urasimu uliopo katika matumizi ndiyo sababu  iliyosababisha kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya Ukimwi kutotumika kwa mwaka wa fedha 2013/14. Mkurugenzi Mtendaji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’

Wadau wa mapambano dhidi ya Ukimwi wametakiwa kuacha mazoea ya kuona kuwa mapambano dhidi ya ugonjwa huo ni mradi.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

10 years ago

Habarileo

Muhongo akerwa na kutotumika kwa umeme wa kontena

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesikitishwa na mradi wa umeme wa Kontena kwenye kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora kuacha kufanya kazi baada ya kuwaka siku chache kwa kile kilichoelezwa kuwa kukosa maelewano ya wananchi na viongozi kutotunga sheria.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MWIGULU AVITAKA VYOMBO VYA SHERIA NCHINI KUTOTUMIKA VIBAYA


 Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Mwigulu Nchemba akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua kikao cha kamati za kuratibu msaada wa kisheria na ukaguzi wa watoa huduma na msaada wa kisheria mkoani Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela. Shehe wa Mkoa wa Tanga Juma Luwuchu akizungumza wakati wa kikao hicho. Waziri wa...

 

10 years ago

StarTV

‘Ukosefu wa hifadhi za jamii unachangia umasikini’.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha.

 

Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya zanzibari Balozi Selfu Ali Iddi amesema Serikali ya Tanzania bado ina kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa watu wake wanaondokana na umasikini uliyokithiri, hususani wakati huu ambapo Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF, inaingia katika awamu ya tatu huku kukiwa bado kuna idadi kubwa ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini.

 

Balozi SeIf Iddi ametoa kauli hiyo Jijini Arusha katika mkutano wa kimataifa wa kinga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi holela unachangia kudorora uchumi

Kwa miaka ya hivi karibuni suala la ujenzi holela wa makazi limezidi kuongezeka katika maeneo mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Umasikini unachangia vifo saratani shingo za kizazi’

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Dk Faisal Issa amesema umaskini unachangia kwa kiwango kikubwa wanawake kupoteza maisha, kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa mawasiliano ya simu Nyasa unachangia umasikini

Wakazi zaidi ya 15,000 katika kata za Liwundi, Ngumbo na Mbaha mwambao mwa Ziwa Nyasa mkoani Ruvuma wanakabiliwa na changamoto ya kukosa mawasiliano ya uhakika ya simu hali inayochangia kuongezeka kwa umaskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani