Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ukosefu wa hifadhi za jamii unachangia umasikini’.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha.

 

Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya zanzibari Balozi Selfu Ali Iddi amesema Serikali ya Tanzania bado ina kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa watu wake wanaondokana na umasikini uliyokithiri, hususani wakati huu ambapo Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF, inaingia katika awamu ya tatu huku kukiwa bado kuna idadi kubwa ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini.

 

Balozi SeIf Iddi ametoa kauli hiyo Jijini Arusha katika mkutano wa kimataifa wa kinga...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa mawasiliano ya simu Nyasa unachangia umasikini

Wakazi zaidi ya 15,000 katika kata za Liwundi, Ngumbo na Mbaha mwambao mwa Ziwa Nyasa mkoani Ruvuma wanakabiliwa na changamoto ya kukosa mawasiliano ya uhakika ya simu hali inayochangia kuongezeka kwa umaskini.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Umasikini unachangia vifo saratani shingo za kizazi’

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Dk Faisal Issa amesema umaskini unachangia kwa kiwango kikubwa wanawake kupoteza maisha, kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi.

 

11 years ago

Michuzi

MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.

Afisa kutoka TASAF makao makuu Bw. Geodfrey Nyamwihula akisisitiza jambo kwa walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini katika shehia ya Bandamaji wilaya ya Kaskazini B Unguja wakati walengwa wa mpango huo walipopewa mafunzo ya namna ya kuibua miradi ya ujenzi PWP ambayo ni moja ya jitihada za serikali kupitia TASAF kuongeza pato la kaya husika .
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania

DSC05590

Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.

Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku  ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali  ya awamu ya nne...

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.JAMII imeaswa kuunga mkono juhudi mbalimbali dhidi ya mapambano  ya ukosefu lishe bora  kutokana kudumaza watoto na kushindwa taifa kukosa nguvu kazi katika jitihada za kusukuma uchumi.


Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...

 

9 years ago

Mwananchi

Changamoto za mifuko ya hifadhi ya jamii

Wiki iliyopita nilielezea baadhi ya mambo yanayosababisha kuwagusa wachangiaji wa mifuko ya pensheni ya hifadhi ya jamii, hasa wanapokuwa wanapoteza uanachama na kinga yao ya hifadhi ya jamii na pale wanapoondoka au kuhamia mfuko mwingine wakiwa ndani ya nchi na akivuka mpaka na kwenda nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii

Tunalazimika tena leo kuitahadharisha Serikali kuhusu athari zinazotokana na utamaduni wake wa kutolipa madeni.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yachukua hatua hifadhi za jamii zisifilisike

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto), Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, George Yambesi (wa pili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu (wa tatu kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa wakiangalia picha ya mama na mtoto ikiwa ni alama ya uzinduzi wa fao jipya la uzazi litakalokuwa likitolewa na mfuko huo wakati wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa mfuko huo mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).SERIKALI imesema inachukua hatua mbalimbali zitakazozuia uwezekano wa mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika, kutokana na mifuko hiyo kuidai serikali kiasi cha Sh trilioni 1.8.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya  Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani