NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
IPPmedia31 Aug
NECTA to use GPA in evaluating Form IV, VI
Daily News
IPPmedia
In a move to match the grading system in secondary education to that of higher learning institutions, the National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has introduced the Grade Point Average (GPA) system in evaluating Form Four and Form Six ...
NECTA enhances new exam grading methodDaily News
all 4
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Necta kutoa vyeti mbadala kwa Sh100,000
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
NECTA laboresha mfumo wa usahihishaji
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limesema katika kutekeleza majukumu yake limeweza kuboresha mfumo wa usahihishaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE). Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Necta yatangaza mfumo mpya
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
NECTA yafafanua utata wa matokeo
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya kidato cha nne yaliyotolewa wiki iliyopita, likisema kuwa ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu unapangwa kwa kuzingatia alama...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu
MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo.
Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.
Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...
10 years ago
VijimamboNECTA YATANGAZA MATOKEO,WANAFUNZI WAPASI KIBAO.
10 years ago
GPLNECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...