Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

NECTA to use GPA in evaluating Form IV, VI


Daily News
NECTA to use GPA in evaluating Form IV, VI
IPPmedia
In a move to match the grading system in secondary education to that of higher learning institutions, the National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has introduced the Grade Point Average (GPA) system in evaluating Form Four and Form Six ...
NECTA enhances new exam grading methodDaily News

all 4

 

10 years ago

Mwananchi

Necta kutoa vyeti mbadala kwa Sh100,000

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza kuanza kutoa vyeti mbadala kwa gharama ya Sh100,000 kwa wote ambao vyeti vyao vimeharibika kiasi cha kutofaa kwa matumzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

NECTA laboresha mfumo wa usahihishaji

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limesema katika kutekeleza majukumu yake limeweza kuboresha mfumo wa usahihishaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE). Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Necta yatangaza mfumo mpya

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limeanza mfumo mpya wa kupanga matokeo ya kidato cha nne mwaka huu na ya kidato cha sita mwakani, ambapo sasa madaraja yatapangwa kwa wastani wa pointi (GPA) badala ya jumla ya pointi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NECTA yafafanua utata wa matokeo

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya kidato cha nne yaliyotolewa wiki iliyopita, likisema kuwa ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu unapangwa kwa kuzingatia alama...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu

MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo. 

Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.

Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...

 

10 years ago

Vijimambo

NECTA YATANGAZA MATOKEO,WANAFUNZI WAPASI KIBAO.

Pichani niKatibu Mkuu wa Baraza la Mitiani nchini NECTA Dkt Charles E Msonde Akizungumza leo na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam NA KAROLI VINSENTBARAZA la Mitihani nchini NECTA limetangaza matokea ya kidato cha pili yaliyofanyika mwaka jana 2014 huku idadi kubwa ya wanafunzi wakiwa wamefaulu na kujiunga kidato cha tatu, ikiongeza kwa asilimia 92.66 ikilinganisha na mwaka 2013 ambapo idadi ya wanafunzi waliofaulu ilikuwa asilimia 89.34.Matokeo hayo yametangazwa leo Jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2015 kupitia tovuti yao. Kuyaona ingia:==>>…

 

11 years ago

Michuzi

NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne

Na Hellen kwavava
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani