Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NECTA yafafanua utata wa matokeo

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya kidato cha nne yaliyotolewa wiki iliyopita, likisema kuwa ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu unapangwa kwa kuzingatia alama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

NECTA yafafanua alama za ufaulu kidato cha nne

Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles MsondeBARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) limetoa ufafanuzi kuhusu viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla, ambavyo vimetumika kwa mara ya kwanza mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

NECTA YATANGAZA MATOKEO,WANAFUNZI WAPASI KIBAO.

Pichani niKatibu Mkuu wa Baraza la Mitiani nchini NECTA Dkt Charles E Msonde Akizungumza leo na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam NA KAROLI VINSENTBARAZA la Mitihani nchini NECTA limetangaza matokea ya kidato cha pili yaliyofanyika mwaka jana 2014 huku idadi kubwa ya wanafunzi wakiwa wamefaulu na kujiunga kidato cha tatu, ikiongeza kwa asilimia 92.66 ikilinganisha na mwaka 2013 ambapo idadi ya wanafunzi waliofaulu ilikuwa asilimia 89.34.Matokeo hayo yametangazwa leo Jijini Dar es...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...

 

10 years ago

GPL

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2015 kupitia tovuti yao. Kuyaona ingia:==>>…

 

11 years ago

Michuzi

NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne

Na Hellen kwavava
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TASAF yafafanua


NA Lisa Said, Tanga
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleleo ya Jamii (TASAF), Ladislaus Mwamanga, amesema kuwa mfuko huo kutoa fedha kwa ajili ya kuziwezesha kaya masikini sio kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) bali ni mipango ya serikali kuleta unafuu wa kipato kwa wananchi wake.
Aliyasema hayo hivi karibuni katika kikao cha kazi kilichowashirikisha wadau wa mfuko huo kutoka Halmashauri za Mkoa wa Tanga, Pwani, Dar es Salaam na Zanzibar wakiwemo waratibu wa TASAF wilaya na mkoa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NECTA na mafaniko lukuki

KATIKA kutekeleza majukumu yake ikiwemo Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limepata mafanikio  mbalimbali kuboresha Mfumo wa Usahihishaji wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) na kupanga shule kulingana...

 

10 years ago

Daily News

Form Six results please NECTA


Form Six results please NECTA
Daily News
RESULTS for this year's National Form Six Examinations released here indicate that girls have continued to shine over boys percentage-wise, although the latter dominated in numbers. The Executive Secretary of the National Examinations Council of ...

 

10 years ago

Mwananchi

Necta yaziliza shule 50 Mbeya

Shule 50 za sekondari za mkoani hapa zimepata pigo baada ya matokeo ya watahiniwa wa kidato cha pili kuzuiwa na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) kwa madai ya kutolipia ada ya mitihani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani