Necta yaziliza shule 50 Mbeya
Shule 50 za sekondari za mkoani hapa zimepata pigo baada ya matokeo ya watahiniwa wa kidato cha pili kuzuiwa na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) kwa madai ya kutolipia ada ya mitihani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.


9 years ago
StarTV04 Jan
Shule ya Tembela Mbeya yatelekezwa miaka 8
Wakazi wa kijiji cha Zunya kata ya Tembela Mbeya Vijijini wameilalamikia Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa madai ya kushindwa kukamilisha ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kidato cha Tano kijijini hapo kwa miaka Minane licha ya wananchi hao kujitolea nguvu zao na kukamilisha ujenzi wa madarasa manane ya shule hiyo ambapo wamedai .
Wananchi hao ambao sasa wanaanza ujenzi wa mabweni Saba ya shule hiyo wamedai Halmashauri ya Mbeya Vijijini imeshindwa kutoa msukumo unaohitajika...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mahafali darasa la saba shule ya St. Mary’s Mbeya
9 years ago
StarTV28 Dec
Serikali yaombwa kuiokoa Shule ya Msingi Ilembo Mbeya
Serikali imeombwa kuiokoa Shule ya Msingi Ilembo katika kijiji cha Ilembo Mbeya Vijijini kutokana na shule hiyo kukabiliwa na uchakavu wa majengo, ukosefu wa madawati, nyumba za walimu na uchache wa Walimu.
Wakazi wa kijiji cha Ilembo wamesema hali hiyo imesababisha watoto wao kutopata elimu wanayostahili na hivyo kufanya vibaya kwenye mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Shule ya Msingi Ilembo, iliyopo katika kijiji cha Ilembo, Mbeya Vijijini, imejengwa mwaka 1954 na katika uhai wake wa...
11 years ago
Michuzi
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA


10 years ago
VijimamboHABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA
11 years ago
GPL
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
11 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA (NHC) LAKARABATI SHULE YA HASSANGA JIJINI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...