Shule ya Tembela Mbeya yatelekezwa miaka 8
Wakazi wa kijiji cha Zunya kata ya Tembela Mbeya Vijijini wameilalamikia Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa madai ya kushindwa kukamilisha ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kidato cha Tano kijijini hapo kwa miaka Minane licha ya wananchi hao kujitolea nguvu zao na kukamilisha ujenzi wa madarasa manane ya shule hiyo ambapo wamedai .
Wananchi hao ambao sasa wanaanza ujenzi wa mabweni Saba ya shule hiyo wamedai Halmashauri ya Mbeya Vijijini imeshindwa kutoa msukumo unaohitajika...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI
Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Miili yatelekezwa Sierra Leone
10 years ago
Habarileo08 Jan
Miili ya wasichana wawili yatelekezwa hospitalini
MIILI ya wasichana wawili, Bhoke Mwita Gisiri (16) na Matinde Kimoto Wambura (16) waliogongwa na gari na kufa papo hapo, imetekelezwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, ikidaiwa ndugu hawawezi kuichukua kwa kuwa wasichana hao walikeketwa.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Necta yaziliza shule 50 Mbeya
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mahafali darasa la saba shule ya St. Mary’s Mbeya
9 years ago
StarTV28 Dec
Serikali yaombwa kuiokoa Shule ya Msingi Ilembo Mbeya
Serikali imeombwa kuiokoa Shule ya Msingi Ilembo katika kijiji cha Ilembo Mbeya Vijijini kutokana na shule hiyo kukabiliwa na uchakavu wa majengo, ukosefu wa madawati, nyumba za walimu na uchache wa Walimu.
Wakazi wa kijiji cha Ilembo wamesema hali hiyo imesababisha watoto wao kutopata elimu wanayostahili na hivyo kufanya vibaya kwenye mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Shule ya Msingi Ilembo, iliyopo katika kijiji cha Ilembo, Mbeya Vijijini, imejengwa mwaka 1954 na katika uhai wake wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s72-c/furaha+vitabu6.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s1600/furaha+vitabu6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FY0-XdLW9xs/Uyr9Lq1_diI/AAAAAAACdD8/OnqucfSw5Zg/s1600/mbaga2.jpg)
9 years ago
VijimamboHABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA