Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miili ya wasichana wawili yatelekezwa hospitalini

MIILI ya wasichana wawili, Bhoke Mwita Gisiri (16) na Matinde Kimoto Wambura (16) waliogongwa na gari na kufa papo hapo, imetekelezwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, ikidaiwa ndugu hawawezi kuichukua kwa kuwa wasichana hao walikeketwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Miili yatelekezwa Sierra Leone

Miili ya Watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Ebola imetelekezwa na Wafanyakazi kutokana na kutolipwa marupurupu yao.

 

10 years ago

GPL

MIILI YA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENGINE WAWILI YAAGWA DAR

Mbunge wa Jimbo la Ludewa aliyekuwa anamaliza muda wake, Deogratias Filikunjombe enzi za uhai wake. Majeneza yenye miili ya marehemu yakiandaliwa kwa kuagwa. Ndugu, jamaa na marafiki wakipita kwenye majeneza yenye miili ya marehemu kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho. Waombolezaji wakionekana wenye huzuni wakati wa kuaga miili ya marehemu.…

 

10 years ago

GPL

MIILI YA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENGINE WAWILI YAAGWA LUGALO

Mbunge wa Jimbo la Ludewa aliyekuwa anamaliza muda wake, Deogratias Filikunjombe enzi za uhai wake. Majeneza yenye miili ya marehemu yakiandaliwa kwa kuagwa. Ndugu, jamaa na marafiki wakipita kwenye majeneza yenye miili ya marehemu kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho. Waombolezaji wakionekana wenye huzuni wakati wa kuaga miili ya marehemu.…

 

10 years ago

StarTV

Wasichana wawili wa Kenya washukiwa kujiunga na IS

Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria ili kujiunga na kundi la wapiganaji wa ISIS.

Waliondoka nyumbani kwao wakati tofauti wakidai kwamba walikuwa wakielekea katika shule moja ya kiislamu lakini sasa wametoweka.

Ndugu na jamaa za wasichana hao wanasema kuwa walipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasichana hao akisema kuwa wako nchini Syria.

Kulingana na mwandishi wa BBC Joseph Odhiambo,Salwa...

 

11 years ago

GPL

WASICHANA WAWILI WA UINGEREZA WAFUNGWA PERU KWA MADAWA YA KULEVYA

Melissa Reid (kulia) na Michaella McCollum (nyuma) wakifikishwa mahakamani Lima, Peru baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya ‘cocaine’.
McCollum (wa pili kulia) wa Dungannon Ireland ya Kaskazini akiwa chini ya ulinzi.…

 

11 years ago

Bongo5

Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa kitandani akiwa na wasichana wawili mapacha

Kwa mujibu wa mtangazaji wa Hot 97, Peter Rosenberg, Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa akiwa kitandani na wasichana wawili mapacha. Rosenberg ambaye yeye na mke wake ni watu wa karibu na Amber amesema wasichana hao ni mapacha wanaofanana, waitwao Jas na Ness. Jass na Ness Wawili hao walionekana wakipiga picha na Wiz wiki mbili kabla […]

 

9 years ago

StarTV

Shule ya Tembela Mbeya yatelekezwa miaka 8

Wakazi wa kijiji cha Zunya kata ya Tembela Mbeya Vijijini wameilalamikia Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa madai ya kushindwa kukamilisha ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kidato cha Tano kijijini hapo kwa miaka Minane licha ya wananchi hao kujitolea nguvu zao na kukamilisha ujenzi wa madarasa manane ya shule hiyo ambapo wamedai .

Wananchi hao ambao sasa wanaanza ujenzi wa mabweni Saba ya shule hiyo wamedai Halmashauri ya Mbeya Vijijini imeshindwa kutoa msukumo unaohitajika...

 

11 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

10 years ago

Bongo Movies

DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu

Ule usemi wa duniani  watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani