Wasichana wawili wa Kenya washukiwa kujiunga na IS
Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria ili kujiunga na kundi la wapiganaji wa ISIS.
Waliondoka nyumbani kwao wakati tofauti wakidai kwamba walikuwa wakielekea katika shule moja ya kiislamu lakini sasa wametoweka.
Ndugu na jamaa za wasichana hao wanasema kuwa walipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasichana hao akisema kuwa wako nchini Syria.
Kulingana na mwandishi wa BBC Joseph Odhiambo,Salwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kenya:Wasichana 2 washukiwa kujiunga na IS
11 years ago
Michuzi18 Jun
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS
9 years ago
MichuziTAASISI YA DON BOSCO YAHAMASISHA WASICHANA KUPENDA KUJIUNGA NA VYUO VYAO
10 years ago
Habarileo08 Jan
Miili ya wasichana wawili yatelekezwa hospitalini
MIILI ya wasichana wawili, Bhoke Mwita Gisiri (16) na Matinde Kimoto Wambura (16) waliogongwa na gari na kufa papo hapo, imetekelezwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, ikidaiwa ndugu hawawezi kuichukua kwa kuwa wasichana hao walikeketwa.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya
11 years ago
GPLWASICHANA WAWILI WA UINGEREZA WAFUNGWA PERU KWA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
Bongo502 Oct
Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa kitandani akiwa na wasichana wawili mapacha