Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana wawili wa Kenya washukiwa kujiunga na IS

Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria ili kujiunga na kundi la wapiganaji wa ISIS.

Waliondoka nyumbani kwao wakati tofauti wakidai kwamba walikuwa wakielekea katika shule moja ya kiislamu lakini sasa wametoweka.

Ndugu na jamaa za wasichana hao wanasema kuwa walipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasichana hao akisema kuwa wako nchini Syria.

Kulingana na mwandishi wa BBC Joseph Odhiambo,Salwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya:Wasichana 2 washukiwa kujiunga na IS

Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS

Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI YA DON BOSCO YAHAMASISHA WASICHANA KUPENDA KUJIUNGA NA VYUO VYAO

 Meneja wa mipango  wa kapeni ya Binti Thamani Rosemacy Njoki   akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya kampeni ya  kuwahamasisha wasichana kupenda kujiunga  na vyuo vya ufundi  ili kujifunza ufundi stadi  na kujiendeleza kimaisha  ikiwa ni pamoja na kujipatia ajira endelevu, amesema hayo katika kutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushotoni Mkuu wa Chuo cha ufundi cha Don Bosco Dodoma Fromac Mulu. Mratibu wa kampeni ya Binti Thamani wa taasisi ya Don Bosco, Agnes...

 

10 years ago

Habarileo

Miili ya wasichana wawili yatelekezwa hospitalini

MIILI ya wasichana wawili, Bhoke Mwita Gisiri (16) na Matinde Kimoto Wambura (16) waliogongwa na gari na kufa papo hapo, imetekelezwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, ikidaiwa ndugu hawawezi kuichukua kwa kuwa wasichana hao walikeketwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watanzania washukiwa ugaidi Kenya

Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.

 

11 years ago

GPL

WASICHANA WAWILI WA UINGEREZA WAFUNGWA PERU KWA MADAWA YA KULEVYA

Melissa Reid (kulia) na Michaella McCollum (nyuma) wakifikishwa mahakamani Lima, Peru baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya ‘cocaine’.
McCollum (wa pili kulia) wa Dungannon Ireland ya Kaskazini akiwa chini ya ulinzi.…

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa kitandani akiwa na wasichana wawili mapacha

Kwa mujibu wa mtangazaji wa Hot 97, Peter Rosenberg, Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa akiwa kitandani na wasichana wawili mapacha. Rosenberg ambaye yeye na mke wake ni watu wa karibu na Amber amesema wasichana hao ni mapacha wanaofanana, waitwao Jas na Ness. Jass na Ness Wawili hao walionekana wakipiga picha na Wiz wiki mbili kabla […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani