Kenya:Wasichana 2 washukiwa kujiunga na IS
Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV20 May
Wasichana wawili wa Kenya washukiwa kujiunga na IS
Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria ili kujiunga na kundi la wapiganaji wa ISIS.
Waliondoka nyumbani kwao wakati tofauti wakidai kwamba walikuwa wakielekea katika shule moja ya kiislamu lakini sasa wametoweka.
Ndugu na jamaa za wasichana hao wanasema kuwa walipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasichana hao akisema kuwa wako nchini Syria.
Kulingana na mwandishi wa BBC Joseph Odhiambo,Salwa...
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS
9 years ago
MichuziTAASISI YA DON BOSCO YAHAMASISHA WASICHANA KUPENDA KUJIUNGA NA VYUO VYAO
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HuMMOERHkUs/VdggBAYS7vI/AAAAAAAHzDk/FDKhIEakwMg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mpeketoni:Washukiwa 5 wauawa
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ