Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS

Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya:Wasichana 2 washukiwa kujiunga na IS

Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana walioelekea Syria waonekana

Kanda ya Video imeonyesha picha za wasichana watatu wa Uingereza waliotoroka makwao kuelekea nchini Syria ili kujiunga na IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana London wajiunga na IS Syria

Uturuki imeshutumu Uingereza kwamba imechelewa kuijulisha nchi hiyo kuhusu wanafunzi wa kike waliokwenda kujiunga na Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azuiliwa kusafiri Syria kujiunga na IS

Mvulana mwenye umri wa miaka 16 nchini Uingereza amepigwa marufuku kusafiri nje ya nchi hiyo kwa hofu ya kujiunga na IS

 

10 years ago

StarTV

Wasichana wawili wa Kenya washukiwa kujiunga na IS

Wasichana wawili walio marafiki wakubwa wametoweka kutoka nyumbani kwao mjini Nairobi nchini Kenya na wanashukiwa kusafiri nchini Syria ili kujiunga na kundi la wapiganaji wa ISIS.

Waliondoka nyumbani kwao wakati tofauti wakidai kwamba walikuwa wakielekea katika shule moja ya kiislamu lakini sasa wametoweka.

Ndugu na jamaa za wasichana hao wanasema kuwa walipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasichana hao akisema kuwa wako nchini Syria.

Kulingana na mwandishi wa BBC Joseph Odhiambo,Salwa...

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI YA DON BOSCO YAHAMASISHA WASICHANA KUPENDA KUJIUNGA NA VYUO VYAO

 Meneja wa mipango  wa kapeni ya Binti Thamani Rosemacy Njoki   akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya kampeni ya  kuwahamasisha wasichana kupenda kujiunga  na vyuo vya ufundi  ili kujifunza ufundi stadi  na kujiendeleza kimaisha  ikiwa ni pamoja na kujipatia ajira endelevu, amesema hayo katika kutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushotoni Mkuu wa Chuo cha ufundi cha Don Bosco Dodoma Fromac Mulu. Mratibu wa kampeni ya Binti Thamani wa taasisi ya Don Bosco, Agnes...

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon

Wanajeshi 480 wa Nigeria wamekimbilia maisha yao Cameroon baada ya kulemewa na wapiganaji wa Boko Haram

 

10 years ago

KwanzaJamii

WANAJESHI 480 WA NIGERIA WATOROKEA CAMEROON

Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram. Msemaji wa Jeshi la Cameroon Luteni Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala. Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani