Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAJESHI 480 WA NIGERIA WATOROKEA CAMEROON

Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram. Msemaji wa Jeshi la Cameroon Luteni Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala. Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon

Wanajeshi 480 wa Nigeria wamekimbilia maisha yao Cameroon baada ya kulemewa na wapiganaji wa Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi

Viongozi wakuu wawili wa kijeshi nchini Cameroon wametimuliwa kazi baada ya mashambulizi ya kundi la Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Cameroon wasitisha mgomo

Wanajeshi wa Cameroon waliohudumu katika jeshi la Umoja wa Mataifa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati wasitisha mgomo baada ya kulipwa mishahara yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wachangia damu wanajeshi Cameroon

Mamia ya vijana nchini Cameroon,wamejitolea kuwapa damu wanajeshi wanaopambana na kundi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 12 kunyongwa Nigeria

Wanajeshi 12 wamehukumiwa kunyongwa na mahakama ya kijeshi baada ya kukiuka sheria za jeshi la Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria

Taarifa kutoka mjini Buni Yadi katika jimbo la Yobe, Nigeria, zinasema kuwa watu 24 wakiwemo wanajeshi 11 wameuawa na Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waingia Nigeria

Wanajeshi wa Chad wameingia nchini Nigeria kwa ajili ya kupambana na Wanamgambo wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria

Wanajeshi nchini Nigeria wamekuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haramu kwenye mji ulio kaskazini mashariki

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo

Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani