WANAJESHI 480 WA NIGERIA WATOROKEA CAMEROON
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram. Msemaji wa Jeshi la Cameroon Luteni Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala. Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Aug
Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Wanajeshi wa Cameroon wasitisha mgomo
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Vijana wachangia damu wanajeshi Cameroon
11 years ago
BBCSwahili16 Sep
Wanajeshi 12 kunyongwa Nigeria
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Wanajeshi wa Chad waingia Nigeria
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo