Wanajeshi 12 kunyongwa Nigeria
Wanajeshi 12 wamehukumiwa kunyongwa na mahakama ya kijeshi baada ya kukiuka sheria za jeshi la Nigeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Wanajeshi wa Chad waingia Nigeria
Wanajeshi wa Chad wameingia nchini Nigeria kwa ajili ya kupambana na Wanamgambo wa Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria
Wanajeshi nchini Nigeria wamekuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haramu kwenye mji ulio kaskazini mashariki
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria
Taarifa kutoka mjini Buni Yadi katika jimbo la Yobe, Nigeria, zinasema kuwa watu 24 wakiwemo wanajeshi 11 wameuawa na Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili14 May
Wanajeshi wamshambulia kamanda Nigeria
Wanajeshi nchini Nigeria, wamemfyatulia risasi kamanda wao mkuu katika mji wa Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo
Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.
10 years ago
KwanzaJamii25 Aug
WANAJESHI 480 WA NIGERIA WATOROKEA CAMEROON
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram.
Msemaji wa Jeshi la Cameroon Luteni Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule .
Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala.
Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Boko Haram tishio kwa Wanajeshi Nigeria?
Wanajeshi 54 wahukumiwa kifo nchini Nigeria kwa kukataa kupambana na Wanamgambo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wezi NMB kunyongwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi, imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa washitakiwa wawili raia wa Kenya, waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya askari polisi PC Michael Milanzi. Washitakiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania