Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon

Wanajeshi 480 wa Nigeria wamekimbilia maisha yao Cameroon baada ya kulemewa na wapiganaji wa Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

WANAJESHI 480 WA NIGERIA WATOROKEA CAMEROON

Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram. Msemaji wa Jeshi la Cameroon Luteni Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala. Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wazilenga Nigeria na Cameroon

Kundi la Boko Haram linaendesha mapigano katika meneo yote mawili ya kaskazini magharibi mwa Cameroon.

 

11 years ago

BBC

Cameroon boosts Nigeria border forces

Cameroon deploys about 1,000 troops to its border with Nigeria to fight the growing threat of the Islamist group Boko Haram.

 

10 years ago

BBC

Cameroon & Nigeria to meet in final

Cameroon will meet Nigeria in the final of the African Women's Championship after both teams win their semi-finals by a 2-1 scoreline.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS

Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.

 

9 years ago

Mwananchi

Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa

Karatasi 480 za kura kwa ajili ya Rais na mbunge ambazo zimetumika zimedaiwa kutelekezwa karibu na Chuo cha Misitu (FITI) katika Kata ya Njoro Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

Mwananchi

Dakika 480 zilivyopagawisha mashabiki 10,000 Kilimanjaro

Mji wa Moshi na vitongoji vyake mkoani Kilimanjaro ulisisimka na kutikisika, wakati mashabiki 10,000 wa muziki walipofurika kushuhudia tamasha la kwanza lililojumuisha wasanii 10 wa muziki wa kizazi kipya waliotumia dakika 480 kuburudisha katika ziara maalumu inayojulikana kwa jina la Kili Music Tou

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480

   Na.WAMJW,DodomaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa watanzania 196 ambapo kati yao; kutoka Bara ni 174, Zanzibar 22 na kufanya jumla ya watu waliopata maambukizi kuwa ni 480.
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...

 

9 years ago

Global Publishers

Uhuru anapiga tizi dk 480 kwa siku Sauz

UhuruSeleman1Na Omary Mdose

UKIAMUA unaweza lakini lazima uwe umeshinikizwa na kitu fulani ili kufikia kilele cha mafanikio, kwani Uhuru Selemani sasa anafanya mazoezi kwa muda wa saa nane kwa siku huko Afrika Kusini.

Uhuru aliyewahi kucheza Coastal Union, Simba na Azam FC sasa anachezea Royal Eagles inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Afrika Kusini lakini analazimika kufanya mazoezi zaidi ili kupata nafasi fisrt eleven.

Akizungumza na Championi Jumamosi, Uhuru ambaye yupo nchini kwa mapumziko, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani