Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhuru anapiga tizi dk 480 kwa siku Sauz

UhuruSeleman1Na Omary Mdose

UKIAMUA unaweza lakini lazima uwe umeshinikizwa na kitu fulani ili kufikia kilele cha mafanikio, kwani Uhuru Selemani sasa anafanya mazoezi kwa muda wa saa nane kwa siku huko Afrika Kusini.

Uhuru aliyewahi kucheza Coastal Union, Simba na Azam FC sasa anachezea Royal Eagles inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Afrika Kusini lakini analazimika kufanya mazoezi zaidi ili kupata nafasi fisrt eleven.

Akizungumza na Championi Jumamosi, Uhuru ambaye yupo nchini kwa mapumziko, alisema...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RIYAMA YUPO GYM ANAPIGA TIZI

Stori: Hamida Hassan
MKALI wa sinema za Kibongo, Riyama Ally amesema, uzazi umesababisha mwili wake kuwa tipwatipwa lakini sasa ameshaanza mazoezi gym yenye lengo la kupunguza mwili ili arejeshe mwonekano wake wa awali. Riyama Ally. Akichonga na Stori Mix, hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Riyama alisema unene wake umesababishwa na maakuli ya kufa mtu aliyokuwa akiyapata baada ya kujifungua. “Kama unavyojua tena, ukiwa...

 

10 years ago

Michuzi

JK APIGA TIZI MARA TATU KWA SIKU KUIMARISHA AFYA YAKE

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi leo katika viwanja vya Ikulu kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya kufanyiwa upasuaji mwezi uliopita katika hospitali ya Johns Hopkins nchini Marekani. 
Picha na Ikulu

 

11 years ago

Michuzi

Michuzi Blog Exclusive: Taswira za wajumbe wanaopiga tizi kila siku asubuhi

Profesa Mark Mwandosya akila tizi mapema asubuhi hii mjini Dodoma. Ameiambia Globu ya Jamii kwamba yeye bila kukimbia asubuhi na jioni mwili humuwasha sana na hafanyi kazi vizuri. Kila siku anakimbia kilomita 2. Pia yeye ana mkanda wa kahawia wa Goju Ryu Karate, hivyo yuko fiti Kamera yetu pia imewakamata Mhe. Cynthia Ngoye na Mhe.Amina Makilagi,Wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba wakifanya mazoezi ya kutembea mapema leo mjini Dodoma. Mhe. Ngoye ametuambia kwamba wao hutembea umbali wa...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima wakati wa mafunzo ya siku mbili ya waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya majimbo na wilaya na maafisa wa uchaguzi yaliyofanyika mjini Morogoro

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA

Na Zainab Nyamka,Michuzi TV

ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.

Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa  na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani