Uhuru anapiga tizi dk 480 kwa siku Sauz
Na Omary Mdose
UKIAMUA unaweza lakini lazima uwe umeshinikizwa na kitu fulani ili kufikia kilele cha mafanikio, kwani Uhuru Selemani sasa anafanya mazoezi kwa muda wa saa nane kwa siku huko Afrika Kusini.
Uhuru aliyewahi kucheza Coastal Union, Simba na Azam FC sasa anachezea Royal Eagles inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Afrika Kusini lakini analazimika kufanya mazoezi zaidi ili kupata nafasi fisrt eleven.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Uhuru ambaye yupo nchini kwa mapumziko, alisema...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOCcMtiNzsXIB2UU6UHBlJ5UlqmLclPG3VGV5HaEYvhnwcjqEiky5oLY2mNC7nd2Ga6OuRGzcqKpllgikodhatd5/RIYAMA.jpg?width=650)
RIYAMA YUPO GYM ANAPIGA TIZI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5ipBPksCRwc/VINKcwUkM2I/AAAAAAAG1o8/ZYGiU5e7jx0/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
JK APIGA TIZI MARA TATU KWA SIKU KUIMARISHA AFYA YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-5ipBPksCRwc/VINKcwUkM2I/AAAAAAAG1o8/ZYGiU5e7jx0/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Picha na Ikulu
![](http://3.bp.blogspot.com/-YHqeeQVWW0A/VINKmg44lCI/AAAAAAAG1pE/yS0xy3SjYQo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8rOh5xT-qzI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Lpx0QyGCStM/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K4NL0soAiIE/UyFPZwZzTOI/AAAAAAAFTPc/s0xfHLsZv5g/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Michuzi Blog Exclusive: Taswira za wajumbe wanaopiga tizi kila siku asubuhi
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4NL0soAiIE/UyFPZwZzTOI/AAAAAAAFTPc/s0xfHLsZv5g/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6DoYbe4XtBs/UyFOZqxy48I/AAAAAAAFTPU/qd9xTs3nphs/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Lpx0QyGCStM/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fO-4U_teXWE/XsizJlEi4OI/AAAAAAALrWg/A5M-MoH9hvsWI_wEovi04f5qTz5AQGf-wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bsimba.jpg)
BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA
ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.
Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
9 years ago
Michuzi08 Dec