NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima wakati wa mafunzo ya siku mbili ya waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya majimbo na wilaya na maafisa wa uchaguzi yaliyofanyika mjini Morogoro
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog06 May
Singpress yatoa msaada wa zaidi ya laki nane kwa Walemavu Siku ya Uhuru wa Habari
Mwalimu mkuu shule ya msingi mchanganyiko Ikungi waliya ya Ikungi, Olivary Kamilly, akizungumza ofisini kwake na wanachama wa klabu ya waandishi mkoa wa Singida, ambapo kwa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, walitoa msaada wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki nane kwa wanafunzi walemavu wakiwemo Albino katika shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANACHAMA wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari...
10 years ago
GPL
NEC YATOA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA HABARI LA MAREKANI INERNEWS LAANDAA MAFUNZO YA SIKU TANO KWA WAANDISHI WA HABARI WA ZANZIBAR JUU YA KURIPOTI UCHAGUZI MKUU.
10 years ago
Michuzi
NEC yatoa Ratiba Rasmi ya Uchaguzi Mkuu.

10 years ago
Michuzi
NEC YATOA MWALIKO WA WAANGALIZI WA NDANI WA UCHAGUZI MKUU .

Na Jovina Bujulu.
Taasisi na Asasi mbalimbali zimetakiwa kutuma maombi kwenye ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya kusimamia uchaguzi mkuu utatarajia kufanyika mwezi oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Tume hiyo leo jijini Dar es salaam, imezitaka taasisi na asasi zenye nia ya kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu ujao kuwasilisha maombi yao katika ofisi ya NEC kuanzia Julai 5 hadi Oktoba 6 mwaka huu.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa waombaji wanatakiwa kuwalisha maombi...
9 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
SIKU YA UCHAGUZI MKUU ITATANGAZWA NA NEC NA SI VINGINEVYO —LIPUMBA

