SIKU YA UCHAGUZI MKUU ITATANGAZWA NA NEC NA SI VINGINEVYO —LIPUMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrGTc8W8l2A/VS0lufCN54I/AAAAAAAHRHc/K57v3DOO3vo/s72-c/2.jpg)
Mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na baraza la uongozi wa chama hicho (hawapo pichani) iliyofanyika Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,Nassor Ahmed na kushoto ni makamu Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF) Taifa,Duni Haji.
Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Maalim Seif Shariff...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 May
Lipumba: Chondechonde JK nusuru Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Habarileo27 Jun
Lipumba: Tumejipanga kushinda Uchaguzi Mkuu
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye juzi usiku aliibuka mshindi na kuendelea kutetea nafasi yake hiyo ndani ya chama, amesema chama kimeweka nguvu mpya ili kuhakikisha kinashinda uchaguzi mkuu nchini ujao.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Qauh2eZ96yk/VTEqfXnQyXI/AAAAAAAHRtw/fFoHBGGpdyA/s72-c/unnamedt.jpg)
UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE - NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema uchaguzi mkuu utafanyika kama ulivyopangwa na haiwezi kufanya uchaguzi huo usogezwe mbele kutokana na suala hilo kuwa la kikatiba.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa wanasiasa wamekuwa na kauli ambazo zinawafanya wananchi wapate hofu wakati suala hilo kuhairisha uchaguzi halipo katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_G5efAOU_6M/VTEhHloTTHI/AAAAAAAHRrs/iQR_XfHHLqg/s72-c/1.jpg)
NEC:UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_G5efAOU_6M/VTEhHloTTHI/AAAAAAAHRrs/iQR_XfHHLqg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-90sUNfXSwQU/VTEhMUB3xUI/AAAAAAAHRr0/G1-_m83Z4-Q/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEhQYZn59VFMA9hbw1ufeToPCciKiBjU1SsprRJBJyQTLaB5uPAnfwV4ncplTPRxMlVi5lYrgg*msVlrLCJkScOB/unnamedt.jpg?width=650)
NEC: UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9S3oYuZgcLo/default.jpg)