Singpress yatoa msaada wa zaidi ya laki nane kwa Walemavu Siku ya Uhuru wa Habari
Mwalimu mkuu shule ya msingi mchanganyiko Ikungi waliya ya Ikungi, Olivary Kamilly, akizungumza ofisini kwake na wanachama wa klabu ya waandishi mkoa wa Singida, ambapo kwa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, walitoa msaada wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki nane kwa wanafunzi walemavu wakiwemo Albino katika shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANACHAMA wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mmvLYbCvX6kmua2nvNBpKNQBI*swpOefMv7qGCIxIfHEvLnn7mU1PaVKEhwWytldhkEyw7rpPJIHtmyaYULfp9/1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA KWA KUNDI LA WALEMAVU
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC yatoa uhuru kwa waandishi siku ya uchaguzi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xv998xSCcLM/Uw5Z5fhtg6I/AAAAAAAFP4E/vrgpP5_CS0M/s72-c/unnamed+(36).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA, yatoa msaada kwa hospitali za amana na muhimbili·
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s37BgFY42Lk/U2Z8FWP8QdI/AAAAAAAFfYM/ou7Aa3iRadg/s72-c/unnamed+(67).jpg)
wanahabari lindi washerehekea siku ya uhuru wa habari kwa kupima afya na kutoa misaada hospitali
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI