Azuiliwa kusafiri Syria kujiunga na IS
Mvulana mwenye umri wa miaka 16 nchini Uingereza amepigwa marufuku kusafiri nje ya nchi hiyo kwa hofu ya kujiunga na IS
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS
Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Kiongozi wa upinzani azuiliwa nyumbani Moz
Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Mozambique Afonso Dhlakama aliwekwa katika kizuizi cha nyumbani siku ya ijumaa
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mwanamke azuiliwa Costa Rica juu ya hati
Mamlaka za nchini Costa Rica zinamshikilia mwanamke mmoja mwenye asili ya Ugiriki kwa kosa la kuwa na hati bandia za kusafiria.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
10 years ago
Michuzi
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Bashir kusafiri kwenda China
Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kusafiri kwenda nchini China na kupuuza waranti wa kakamatwa dhidi yake
11 years ago
GPL
MTITU AKOMA KUSAFIRI NA BOTI
Stori: Jamila Said BIG Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amesema amekoma kutumia usafiri wa boti kwani ulimfanya akose amani juzikati walipokwenda Zanzibar katika Tamasha la Ziff. Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Mtitu alisema alipokuwa safarini, boti ilimtoa ushamba baada ya hali ya hewa kumshinda na kutapika sana akiwa humo. “Boti imenitoaje ushamba...
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria
Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania