Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azuiliwa kusafiri Syria kujiunga na IS

Mvulana mwenye umri wa miaka 16 nchini Uingereza amepigwa marufuku kusafiri nje ya nchi hiyo kwa hofu ya kujiunga na IS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS

Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani azuiliwa nyumbani Moz

Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Mozambique Afonso Dhlakama aliwekwa katika kizuizi cha nyumbani siku ya ijumaa

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke azuiliwa Costa Rica juu ya hati

Mamlaka za nchini Costa Rica zinamshikilia mwanamke mmoja mwenye asili ya Ugiriki kwa kosa la kuwa na hati bandia za kusafiria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

Michuzi

MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bashir kusafiri kwenda China

Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kusafiri kwenda nchini China na kupuuza waranti wa kakamatwa dhidi yake

 

11 years ago

GPL

MTITU AKOMA KUSAFIRI NA BOTI

Stori: Jamila Said BIG Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amesema amekoma kutumia usafiri wa boti kwani ulimfanya akose amani juzikati walipokwenda Zanzibar katika Tamasha la Ziff. Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Mtitu alisema alipokuwa safarini, boti ilimtoa ushamba baada ya hali ya hewa kumshinda na kutapika sana akiwa humo. “Boti imenitoaje ushamba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria

Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani