Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTITU AKOMA KUSAFIRI NA BOTI

Stori: Jamila Said BIG Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amesema amekoma kutumia usafiri wa boti kwani ulimfanya akose amani juzikati walipokwenda Zanzibar katika Tamasha la Ziff. Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Mtitu alisema alipokuwa safarini, boti ilimtoa ushamba baada ya hali ya hewa kumshinda na kutapika sana akiwa humo. “Boti imenitoaje ushamba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JINI KABULA AKOMA KUZAA NJE YA NDOA

Stori: Mwandishi Wetu
Funzo! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa amejifunza kutokana na makosa hivyo hawezi kuzaa tena nje ya ndoa. Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ Akizungumza na mwanahabari wetu, Jini Kabula ambaye anabanjuka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Ruta Maximilian Bushoke, alitiririka: “Nilizaa na Mr Chuz (Tuesday Kihangala)...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanafunzi aliyekua ana nadi ubikra akoma

Mwanafunzi aliyekua ananadi ubikra wake kwenye mtandao wa Internet amesitisha kampeini yake baada ya kubadili mawazo kulihusu hilo

 

9 years ago

BBCSwahili

Bashir kusafiri kwenda China

Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kusafiri kwenda nchini China na kupuuza waranti wa kakamatwa dhidi yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Azuiliwa kusafiri Syria kujiunga na IS

Mvulana mwenye umri wa miaka 16 nchini Uingereza amepigwa marufuku kusafiri nje ya nchi hiyo kwa hofu ya kujiunga na IS

 

9 years ago

Mwananchi

Masharti ya kusafiri nje haya hapa

Ofisi ya Rais imesambaza mwongozo unaoweka masharti ambayo watumishi wa umma wanaotaka kusafiri nje ya nchi watatakiwa kutimiza ili wapewe kibali, ikiwa ni mkakati wa kutekeleza agizo la Rais John Magufuli la kudhibiti safari holela za nje.     

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria

Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Libya azuiwa kusafiri

Aliyekuwa Waziri mkuu wa Libya Ali Zeidan akatazwa kusafiri nje ya nchi hiyo hadi uchunguzi dhidi yake utakapokamilika

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri

Raia wa China, amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na kucha 10 za simba zenye thamani ya Sh8.3 milioni.

 

9 years ago

MillardAyo

Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo

Ikiwa tuanelekea mwishoni mwa mwaka 2015, kuna mengi yanakuwa yakiendelea katika msimu huu ambapo pia baadhi ya watu hupendelea kwenda makwao kwaajili ya kuwasabahi ndugu na jamaa. Lakini hali imekuwa tofauti kidogo leo Dec 23 2015 katika kituo cha mabasi Ubungo Terminal Dar es salaam mara baada ya baadhi ya abiria kukwama kusafiri kutokana na kukosa […]

The post Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani