Mwanafunzi aliyekua ana nadi ubikra akoma
Mwanafunzi aliyekua ananadi ubikra wake kwenye mtandao wa Internet amesitisha kampeini yake baada ya kubadili mawazo kulihusu hilo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s72-c/3.jpg)
YULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s640/3.jpg)
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...
10 years ago
Vijimambo24 Jan
HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/23/150123014307_gogo_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6opPBu3bFCudY*yRuthVCpi5KpzXD49XtdV34PMQrrTTgFWV4RSzEykL92WPN8PueiySi0fJrHK28rbolOx9Xv8/MTITU.jpg)
MTITU AKOMA KUSAFIRI NA BOTI
Stori: Jamila Said BIG Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amesema amekoma kutumia usafiri wa boti kwani ulimfanya akose amani juzikati walipokwenda Zanzibar katika Tamasha la Ziff. Boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Mtitu alisema alipokuwa safarini, boti ilimtoa ushamba baada ya hali ya hewa kumshinda na kutapika sana akiwa humo. “Boti imenitoaje ushamba...
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,michezo huathiri ubikra wa wasichana?
Mwalimu mkuu wa shule moja amedaiwa kuwazuia wasichana katika shule hiyo kutoshiriki katika michezo kwa hofu kwamba huenda wakapoteza ubikira.
10 years ago
BBCSwahili16 May
Indonesia yaombwa ikome kupima Ubikra
Indonesia imeshauriwa ikomeshe sheria inayowalazimu wanawake kuthibitisha ni mabikira kabla ya kujiunga na jeshi la taifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXnk8J7J8XwG-axvNjmO43hYw9XscceZaJNpmJaFFlm5wyzAzRJUVZHIW1fCGWORSqoVIwndpZ37hD*HcQpLTru/kabula.jpg)
JINI KABULA AKOMA KUZAA NJE YA NDOA
Stori: Mwandishi Wetu
Funzo! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa amejifunza kutokana na makosa hivyo hawezi kuzaa tena nje ya ndoa. Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ Akizungumza na mwanahabari wetu, Jini Kabula ambaye anabanjuka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Ruta Maximilian Bushoke, alitiririka: “Nilizaa na Mr Chuz (Tuesday Kihangala)...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K5uJsZr3gmc/VYVkiiycGKI/AAAAAAAC7J0/TPkNN-oU1Fo/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MDAU PALLA ANA KWA ANA NA RAIS MSTAAF BENJAMINI MKAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-K5uJsZr3gmc/VYVkiiycGKI/AAAAAAAC7J0/TPkNN-oU1Fo/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s72-c/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
ANKAL ANA KWA ANA NA MBUNGE WA MAFINGA MJINI MHE. COSATO CHUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s640/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania