Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Indonesia yaombwa ikome kupima Ubikra

Indonesia imeshauriwa ikomeshe sheria inayowalazimu wanawake kuthibitisha ni mabikira kabla ya kujiunga na jeshi la taifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,michezo huathiri ubikra wa wasichana?

Mwalimu mkuu wa shule moja amedaiwa kuwazuia wasichana katika shule hiyo kutoshiriki katika michezo kwa hofu kwamba huenda wakapoteza ubikira.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanafunzi aliyekua ana nadi ubikra akoma

Mwanafunzi aliyekua ananadi ubikra wake kwenye mtandao wa Internet amesitisha kampeini yake baada ya kubadili mawazo kulihusu hilo

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa aagiza migogoro ya ardhi ikome

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanaongeza udhibiti na usimamizi wa migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao husika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yaonywa ikome kudukua Ubelgiji

Mahakama moja nchini Ubelgiji imeipa Facebook saa 48 kukoma kuwadukua watu ambao hawajajiunga na mtandao huo wa kijamii nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

Bulembo ataka tabia ya kukataa watendaji ikome

Abdallah BulemboJUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekemea tabia ya viongozi wa wilaya na mikoa wanaokataa watendaji wanaopelekwa kufanya kazi katika maeneo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yaombwa kusema, 'La'

Waziri Mkuu Alexis Tsipras amesisitiza kukataa masharti ya wakopeshaji siyo kuondoka EU.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaombwa silaha Ukraine

Mkuu wa baraza la kamati ya mahusiano ya Marekani ameiomba nchi yake kupeleka silaha Ukraine ili kukabiliana na uvamizi wa Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa yaombwa kuungana dhidi ya IS

Waziri mkuu wa Australia, Tony Abbott, ameyaomba mataifa ya Asia-Pacific kuungana ili kusaidia katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani