Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook yaonywa ikome kudukua Ubelgiji

Mahakama moja nchini Ubelgiji imeipa Facebook saa 48 kukoma kuwadukua watu ambao hawajajiunga na mtandao huo wa kijamii nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Faragha:Facebook yashtakiwa Ubelgiji

Uamuzi unaotaka mtandao wa facebook kufanya mabadiliko muhimu katika mazingira yake ya faragha nchini Ubelgiji umecheleweshwa huku nakala za mahakama zikitafsiriwa kiingereza.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Apple:Hakuna anayeweza kudukua iPhone

Kampuni ya kutengeneza simu Apple, imefichua mahakamani kuwa hakuna anayeweza kudukua siri za wateja wa IPhone.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hamas yafanikiwa kudukua simu za wanajeshi wa Israel kupitia 'vipusa'

Wapiganaji wa Hamas walidukua simu aina ya smartphone za wanajeshi wa Israel kwa kujifanya wanawake , limesewma jeshi la Israel.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia yaombwa ikome kupima Ubikra

Indonesia imeshauriwa ikomeshe sheria inayowalazimu wanawake kuthibitisha ni mabikira kabla ya kujiunga na jeshi la taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa aagiza migogoro ya ardhi ikome

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanaongeza udhibiti na usimamizi wa migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao husika.

 

11 years ago

Habarileo

Bulembo ataka tabia ya kukataa watendaji ikome

Abdallah BulemboJUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekemea tabia ya viongozi wa wilaya na mikoa wanaokataa watendaji wanaopelekwa kufanya kazi katika maeneo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yaonywa Kura ya 'La'

Kanda inayotumia sarafu ya Euro inasema kura ya 'La' haitasaidia Ugiriki kutatua matatizo yake ya kifedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya ununuzi yaonywa

Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi Nchini (PSPTB), imetakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu, wanachama wake watakaobainika kuisababishia hasara Serikali kutokana na kuingia mikataba ya ununuzi ambayo haina masilahi kwa taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani