Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faragha:Facebook yashtakiwa Ubelgiji

Uamuzi unaotaka mtandao wa facebook kufanya mabadiliko muhimu katika mazingira yake ya faragha nchini Ubelgiji umecheleweshwa huku nakala za mahakama zikitafsiriwa kiingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yashtakiwa kwa kuhodhi taarifa za fedha

Facebook inakabiliwa na mashtaka mawili ya ukiukaji wa haki za wawekezaji wake ilipowanyima maelezo kamili kuhusiana na hisa zake mwaka wa 2012.

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yaonywa ikome kudukua Ubelgiji

Mahakama moja nchini Ubelgiji imeipa Facebook saa 48 kukoma kuwadukua watu ambao hawajajiunga na mtandao huo wa kijamii nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya Google yashtakiwa

Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Burundi yashtakiwa Mahakama ya Afrika

SERIKALI ya Burundi imeburuzwa kwenye korti ya Afrika Mashariki (EACJ), kwa madai ya kukiuka haki za binadamu na utawala wa sheria. Inadaiwa kumnyang’anya pasi ya kusafiria Rais wa Chama cha...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-2

WENGI huamini kukutana faragha huzidisha mapenzi katika uhusiano. Inawezekana ni kweli lakini tendo hili huwa na ubora na maana zaidi ikiwa litafanywa na wanandoa. Kutokana na mabadiliko ya dunia, faragha imekuwa ni jambo la kawaida kabisa hata kwa wale ambao ni marafiki tu. Wanaofanya hivyo, huwa na imani kuwa wanawapagawisha wapenzi wao na kuwafanya wasifikirie kuwaacha. Tendo la ngono limekuwa jambo la kawaida. Ni jambo...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-4

KUJIFUNZA hakuna ukomo. Ni vyema kujiwekea utaratibu wa kujifunza kila siku. Maana yake katika kujifunza huongeza maarifa. Ulichokuwa ukikifahamu jana, huenda leo ukajifunza kitu kingine tofauti. Hapa kwenye Love & Life tunajifunza mambo muhimu kuhusu maisha yetu. Vijana wa sasa wanaamini faragha huongeza na kuimarisha penzi. Jambo hili halina ukweli, kuna mambo mengi muhimu zaidi ya faragha ambayo yakifanywa huzidisha furaha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani