ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-4
![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGHNZlm65oxKs847ST6W*A5CIDJZ*jbI9PmFDGI3WU85JEKghFUhvdiHkFrmEPzwDeV7oRMIBoE*bDskiucH7uLZ/mahaba.jpg?width=650)
KUJIFUNZA hakuna ukomo. Ni vyema kujiwekea utaratibu wa kujifunza kila siku. Maana yake katika kujifunza huongeza maarifa. Ulichokuwa ukikifahamu jana, huenda leo ukajifunza kitu kingine tofauti. Hapa kwenye Love & Life tunajifunza mambo muhimu kuhusu maisha yetu. Vijana wa sasa wanaamini faragha huongeza na kuimarisha penzi. Jambo hili halina ukweli, kuna mambo mengi muhimu zaidi ya faragha ambayo yakifanywa huzidisha furaha ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3AaCBl4ax3IlF8u0dMKzWOle1owg2oO*a8NUroas4zw5OCvK9T8*UTYNMB7kSoHR6mO*TQw8g-DVxM0xsHcnMFF/mahaba.jpg?width=650)
ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-2
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Wizara kuharakisha kesi ukatili wa kijinsia
WIZARA ya Katiba na Sheria, imesema inaandaa utaratibu utakaowezesha uharakishwaji wa upelelezi na usikilizaji wa kesi za ukatili wa kijinsia. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa wizara...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete kuharakisha maendeleo Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi katika Kijiji cha Changarikwa wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kuchagua viongozi wa Seikali ya Kijiji wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.CCM imepata ushindi wa Vijiji vyote katika 74 katika jimbo hilo.
Ridhiwani akisisitiza jambo alipokuwa akihutubia katika kijiji hicho ambapo aliwataka kuacha tabia ya kukata miti ovyo kwa ajili ya mkaa ama sivyo vijiji vitageuka jangwa.
Mkazi wa...
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Serikali yahimizwa kuharakisha mpango wa matumizi ya ardhi
SERIKALI imetakiwa kuharakisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji 79 vilivyopo katika Wilaya Kisarawe mkoani Pwani kuepusha migogoro ya mipaka baina ya kijiji na kijiji. Wito huo ulitolewa...
9 years ago
StarTV28 Dec
Serikali yaombwa kuharakisha ahadi yake ya upanuzi wa barabara
Watumiaji wa Barabara ya Gerezani – Bendera tatu Dar es salaam wameiomba Serikali ya Tanzania na Japan kuharakisha upanuzi wa barabara hiyo na ule wa barabara ya juu katika eneo la Tazara ili kuwapunguzia kero ya muda mrefu ya msongamano wa magari.
Baada ya kuona maandalizi ya awali katika barabara ya gerezani kwa ajili ya kuanza ujenzi, baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo wakazungumza na Star Tv
Wamesema kutokana na watu wengi kutumia barabara hiyo hususani wenye magari makubwa ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bay6Oe_4yOk/XkqDFZYWPuI/AAAAAAALduE/SqfpE02Q9SEuyLv4c-PUfDqjuX0WVri6QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_155130.jpg)
Wakandarasi Watakiwa kuharakisha mradi, kukabidhi kwa wakati
Amesema mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwezi machi mwaka 2018 na kutakiwa kukamilika na kukabidhiwa Mwezi Mei 31 mwaka huu, mradi huu ulitakiwa use umekamilika kwa asilimia 62 %lakini bado unasuasua kwani kwa sasa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LRwzBwioc7c/XmfmP9AamRI/AAAAAAALihM/F2xmg4f7uHkpYDAhaKlGHDtmt-Gpg7AXQCLcBGAsYHQ/s72-c/FIVE.jpg)
Biteko aitaka kampuni ya Noble Helium kuharakisha mradi
![](https://1.bp.blogspot.com/-LRwzBwioc7c/XmfmP9AamRI/AAAAAAALihM/F2xmg4f7uHkpYDAhaKlGHDtmt-Gpg7AXQCLcBGAsYHQ/s640/FIVE.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/NINE.jpg)
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya (kulia) akibadilishana mawazo na wager Jennines baada ya kikao baina ya wizara na kampuni ya Noble Helium kuhitimishwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/SIX.jpg)
Waziri wa madini, Doto Biteko (mbele), Naibu waziri, Stanslaus Nyongo ( kushoto) na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya (kulia) wakijadili jambo mara baada ya kikao baina ya wizara na kampuni ya Noble...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Serikali yashauriwa kuharakisha sheria ya kilimo cha mkataba
SERIKALI imeshauriwa kuharakisha kutunga sheria na kanuni zitakazosaidia kuongoza kilimo cha mkataba ili wakulima wadogo waweze kunufaika zaidi. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Joseph Kuzilwa, alitoa ushauri huo...