Serikali yashauriwa kuharakisha sheria ya kilimo cha mkataba
SERIKALI imeshauriwa kuharakisha kutunga sheria na kanuni zitakazosaidia kuongoza kilimo cha mkataba ili wakulima wadogo waweze kunufaika zaidi. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Joseph Kuzilwa, alitoa ushauri huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Oct
Wataka sheria katika kilimo cha mkataba
11 years ago
Mwananchi16 May
Wakataa kilimo cha mkataba
11 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Watafiti: Kilimo cha mkataba ni mkombozi
WATAFITI wa ndani na nje wametaka kilimo cha mkataba kikuzwe kwa kuwa kina nafasi ya kumuendeleza mkulima mdogo. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Joseph Kuzilwa alitoa ushauri huo...
11 years ago
Habarileo04 Oct
Watafiti wahimiza kilimo cha mkataba
WATAFITI wa ndani na nje wametaka kilimo cha mkataba kikuzwe nchini kwa kuwa kina nafasi kubwa ya kumwendeleza mkulima mdogo na kuleta maendeleo.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAUTARURUHUSIWA KUFANYA TRANSFER AU KUPATA HATI IKIWA UNA MKATABA WA SERIKALI ZA MITAA.

11 years ago
Habarileo20 Apr
Serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema malengo ya Serikali ni kukifanya kilimo cha umwagiliaji kuleta mapinduzi ya kijani.
11 years ago
Dewji Blog21 May
Makampuni ya utafiti yashauriwa kuongeza bidii kupata mbegu bora za kilimo
Na Nathaniel Limu, Singida
MAKAMPUNI yanayojishughulisha na tafiti mbali mbali za nafaka yameshauriwa kuongeza juhudi zaidi ili kupata mbegu bora zitakazowasaidia wakulima kupata chakula cha kutosha na kujikomboa kiuchumi.
Wito huo umetolewa hivi karibuni na Diwani wa Kata ya Mwasauya (CCM) tarafa ya Ilongero wilaya ya Singida, Seleman Ntandu wakati akizungumza kwenye kilele cha sherehe za wakulima wa kata ya Ikhanoda na Mwasauya.
Amesema ili kilimo kiweze kuwa na tija kwa wakulima hasa...
5 years ago
Michuzi
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...