Wataka sheria katika kilimo cha mkataba
Serikali imeshauriwa kuharakisha kutunga sheria na kanuni zitakazosaidia kuongoza kilimo cha mkataba ili wakulima wadogo waweze kunufaika zaidi kiuchumi na shughuli za kilimo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Serikali yashauriwa kuharakisha sheria ya kilimo cha mkataba
SERIKALI imeshauriwa kuharakisha kutunga sheria na kanuni zitakazosaidia kuongoza kilimo cha mkataba ili wakulima wadogo waweze kunufaika zaidi. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Joseph Kuzilwa, alitoa ushauri huo...
11 years ago
Mwananchi16 May
Wakataa kilimo cha mkataba
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Watafiti: Kilimo cha mkataba ni mkombozi
WATAFITI wa ndani na nje wametaka kilimo cha mkataba kikuzwe kwa kuwa kina nafasi ya kumuendeleza mkulima mdogo. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Joseph Kuzilwa alitoa ushauri huo...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Watafiti wahimiza kilimo cha mkataba
WATAFITI wa ndani na nje wametaka kilimo cha mkataba kikuzwe nchini kwa kuwa kina nafasi kubwa ya kumwendeleza mkulima mdogo na kuleta maendeleo.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba
11 years ago
Michuzi23 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
5 years ago
MichuziWAKULIMA WASHAURIWA KUJIKITA KATIKA KILIMO CHA ROZELA
Janeth Maro akielezea namna ambavyo wanaandaa mbolea ambayo si ya kemikali kwa ajili ya kuweka kwenye mazao mbalimbali
Moja ya bwawa kubwa la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni 12 kwa ajili ya kumwagilia mazao yaliwepo kwenye Kituo cha Utafito cha SAT
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akionesha miti ambayo inatumika kurejesha rotuba kwenye ardhi ili mazao yanayopandwa yaweze kustawi
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Janeth Maro akifafanua jambo...