Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria
Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Bashir kusafiri kwenda China
Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kusafiri kwenda nchini China na kupuuza waranti wa kakamatwa dhidi yake
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Miili ya wahamiaji yapatikana Austria
Maafisa wa Austria wamesema wamegundua miilli ya wahamiaji iliachwa ndani ya lori karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Austria leo kupokea wahamiaji 10,000
Austria imesema inatarajia kupokea wahamiaji wapatao 10,000 wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka Syria ambao wataingia katika nchi hiyo kutokea Hungary.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-95EPrOC0dhM/VZObAygQWII/AAAAAAAHmKw/94_pYAZBH68/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili 5 Julai 2015 alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. Watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria...
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wahamiaji zaidi ya 50 wafariki Libya
Watu wapatao 50 wamekutwa wamekufa katika sehemu ya mizigo ya boti iliyokuwa imebeba wahamiaji waliokamatwa katika pwani ya Libya.
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani
Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Wahamiaji 20 zaidi wazama Mediterenian
Shirika la IOM lasema limepokea ujumbe wa dharura kutoka kwa meli iliyokuwa ikizama na wahamiaji 300 katika bahari ya Mediterranean
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Picha ya wahamiaji ndio bora zaidi
Mpiga picha Mmarekani John Stanmeyer ameshinda shindano la picha bora zaidi mwaka 2014 kwa picha yake ya wahamiaji Djibouti.
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Zaidi ya wahamiaji 200 waangamia Libya
Zaidi ya wahamiaji 200 wanahofiwa kufariki baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama pwani ya Libya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania