Austria leo kupokea wahamiaji 10,000
Austria imesema inatarajia kupokea wahamiaji wapatao 10,000 wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka Syria ambao wataingia katika nchi hiyo kutokea Hungary.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Miili ya wahamiaji yapatikana Austria
Maafisa wa Austria wamesema wamegundua miilli ya wahamiaji iliachwa ndani ya lori karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria
Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Ukarimu wa kupokea wahamiaji wapunguzwa
Ujerumani na Austria zaanza kuonesha kuwa zapunguza mapokezi ya wahamiaji wanaopitia nchi nyengine kufika huko
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-95EPrOC0dhM/VZObAygQWII/AAAAAAAHmKw/94_pYAZBH68/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili 5 Julai 2015 alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. Watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria...
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Uingereza yatakiwa kupokea wasyria 50,000
Kanisa la Kianglikana lataka Uingereza iwapokee wakimbizi 30,000 zaidi ilikupunguza mateso yanayowakumba wakimbizi kutoka Syria
9 years ago
BBCSwahili20 Sep
Canada itapokea wahamiaji 10,000
Serikali ya Canada inasema kuwa haiwezi kukubali zaidi ya wakimbizi 10,000 kutoka nchini syria jinsi ilikuwa imehidi awali.
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Wahamiaji 2,000 wanaswa wakijiandikisha
Idara ya uhamiaji nchini imesema inawashikilia wahamiaji haramu 2,048 kutoka nchi mbalimbali kwa tuhuma za kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Wahamiaji 107,000 waliwasili Ulaya Julai
Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya watakiwa kuchukua hatua zaidi kumaliza tatizo la wahamiaji haramu
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19 AnandTechView Full coverage on Google News
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania