Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukarimu wa kupokea wahamiaji wapunguzwa

Ujerumani na Austria zaanza kuonesha kuwa zapunguza mapokezi ya wahamiaji wanaopitia nchi nyengine kufika huko

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Austria leo kupokea wahamiaji 10,000

Austria imesema inatarajia kupokea wahamiaji wapatao 10,000 wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka Syria ambao wataingia katika nchi hiyo kutokea Hungary.

 

9 years ago

Mtanzania

10 wapunguzwa BSS

BSSWASHIRIKI 10 waliokuwa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Stars Search 2015 (BSS), wameaga rasmi usiku wa kuamkia leo.

Washiriki hao walioagwa ni Evance Ernest, Khalid Iddy, Jabu Msangi, Mango Joshua na Jerome Benedicto kutokea Dar es Salaam.

Wengine ni Elisia Moshi, Christina Mbonde wa Mbeya na Ally Kala wa Mwanza na Gervas Miovela wa Arusha.

Majaji wa shindano hilo ambao ni Ritha Paulsen, Master Jay na Salama Jabir, ndio waliohusika katika mchujo huo.

“Kwa kuwa mwisho wa siku...

 

9 years ago

Mtanzania

Wanne wapunguzwa BSS

BSSNA MWANDISHI WETU

WASHIRIKI kutoka Dar es Salaam, Greylove Mwidunda, Sarah Jackson na Nassor Amry pamoja na mshiriki kutoka Mkoa wa Mbeya, Bezalel Nataaniel, wameaga shindano la kusaka vipaji vya wanamuziki Bongo Star Search (BSS).

Kutolewa kwa washiriki hao wanne kumefanya shindano hilo libakiwe na washiriki 15 wanaoendelea na kambi.

Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema washiriki waliotolewa walikuwa na kasoro ndogondogo katika uimbaji ikilinganishwa na washiriki...

 

11 years ago

Mwananchi

UGHAIBUNI: Ukarimu wa Tanzania kuhudumia wakimbizi na gharama inazolipa

>Ninaikumbuka Dar es Salaam ya miaka ya sitini. Bandari hiyo ilikuwa kweli ya salama, hasa kwa wakimbizi kutoka sehemu mbalimbali za Afrika. Ukiacha mji mkuu wa Misri, Cairo, mji huo wa Tanzania ulikuwa ni kituo muhimu katika harakati za vyama vya ukombozi katika Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

Jamii yaaswa kuzidisha wema na ukarimu ndani ya mwezi wa Ramadhan

Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni wa Watu wa Iran Nchini Tanzania { ICC } Sheikh Ali Bakar akizungumza katika hafla ya kukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndani ya jengo la Karim Jee Jijini Dar es salaam.Baadhi ya Mabalozi wa Nchi za Kiislamu waliohudhuria hafla ya kukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndani ya Ukumbi wa Karim Jee Jijini Dar es salaam.Baadhi ya Viongozi na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Dar es salaam waliopata fursa ya kuhudhuria sherehe za kuukaribishwa mwezi...

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KUKUZA SEKTA YA UKARIMU NA UTALII HUFANYIKA KWA MARA YA PILI JIJINI DAR DISEMBA 7 NA 8 MWAKA HUU

INTERNATIONAL hospitality consultancy HD Partnership (HDP) kwa  kushirikiana na shirika la wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT), wanafanya mkutano wa awamu ya pili wa mwaka Disemba 7 na 8 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

 Mkutano huu unahusu sekta ya ukarimu na utalii, Katika jukwaa hilo litategemea kuzungumzia ujumbe juu ya ukarimu kwa wadau wa sekta ya utalii wakiwemo wawekezaji, wamiliki wahoteli, kampuni za usimamizi, bidhaa, mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali, wasambazaji na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”

IMG-20150506-WA0008

Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.

 

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza kupokea wanaotatizika Syria

Uingereza imesema itapokea tu wakimbizi wanaoteseka zaidi nchini Syria kama vile wanawake waliobakwa na wazee

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani