Ukarimu wa kupokea wahamiaji wapunguzwa
Ujerumani na Austria zaanza kuonesha kuwa zapunguza mapokezi ya wahamiaji wanaopitia nchi nyengine kufika huko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Austria leo kupokea wahamiaji 10,000
9 years ago
Mtanzania24 Aug
10 wapunguzwa BSS
WASHIRIKI 10 waliokuwa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Stars Search 2015 (BSS), wameaga rasmi usiku wa kuamkia leo.
Washiriki hao walioagwa ni Evance Ernest, Khalid Iddy, Jabu Msangi, Mango Joshua na Jerome Benedicto kutokea Dar es Salaam.
Wengine ni Elisia Moshi, Christina Mbonde wa Mbeya na Ally Kala wa Mwanza na Gervas Miovela wa Arusha.
Majaji wa shindano hilo ambao ni Ritha Paulsen, Master Jay na Salama Jabir, ndio waliohusika katika mchujo huo.
“Kwa kuwa mwisho wa siku...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Wanne wapunguzwa BSS
NA MWANDISHI WETU
WASHIRIKI kutoka Dar es Salaam, Greylove Mwidunda, Sarah Jackson na Nassor Amry pamoja na mshiriki kutoka Mkoa wa Mbeya, Bezalel Nataaniel, wameaga shindano la kusaka vipaji vya wanamuziki Bongo Star Search (BSS).
Kutolewa kwa washiriki hao wanne kumefanya shindano hilo libakiwe na washiriki 15 wanaoendelea na kambi.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema washiriki waliotolewa walikuwa na kasoro ndogondogo katika uimbaji ikilinganishwa na washiriki...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
UGHAIBUNI: Ukarimu wa Tanzania kuhudumia wakimbizi na gharama inazolipa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-y7zR_dE5CG4/VX2RDPUDjfI/AAAAAAABxyE/KrrgpDNK360/s72-c/208.jpg)
Jamii yaaswa kuzidisha wema na ukarimu ndani ya mwezi wa Ramadhan
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7zR_dE5CG4/VX2RDPUDjfI/AAAAAAABxyE/KrrgpDNK360/s640/208.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WGrPqF9egq4/VX2RDZxuHXI/AAAAAAABxyI/1hvMLkLCCoc/s640/210.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H09OPWkflAE/VX2RDW_3r1I/AAAAAAABxyM/QL0KstNc-Q8/s640/214.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s72-c/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
MKUTANO WA KUKUZA SEKTA YA UKARIMU NA UTALII HUFANYIKA KWA MARA YA PILI JIJINI DAR DISEMBA 7 NA 8 MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s640/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
Mkutano huu unahusu sekta ya ukarimu na utalii, Katika jukwaa hilo litategemea kuzungumzia ujumbe juu ya ukarimu kwa wadau wa sekta ya utalii wakiwemo wawekezaji, wamiliki wahoteli, kampuni za usimamizi, bidhaa, mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali, wasambazaji na...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Uingereza kupokea wanaotatizika Syria