Uingereza kupokea wanaotatizika Syria
Uingereza imesema itapokea tu wakimbizi wanaoteseka zaidi nchini Syria kama vile wanawake waliobakwa na wazee
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Uingereza yatakiwa kupokea wasyria 50,000
Kanisa la Kianglikana lataka Uingereza iwapokee wakimbizi 30,000 zaidi ilikupunguza mateso yanayowakumba wakimbizi kutoka Syria
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Uingereza yashambulia Islamic State Syria
Ndege za kijeshi za Uingereza zimetekeleza mashambulio ya angani dhidi ya kundi la Islamic State nchini Syria saa chache baada ya bunge kuidhinisha mashambulio hayo.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Uingereza yashambulia tena IS nchini Syria
Ndege za kivita za Uingereza zimeshambulia kwa mara ya pili ngome za wapiganaji wa Islamic State nchini Syria tangu kuidhinishwa kwa operesheni hiyo.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kikwete kupokea rasimu ya katiba
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania hii leo anataraji kukabidhiwa katiba rasmi iliyopendekezwa mjini Dodoma.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Wanakijiji wagoma kupokea maji
Wakazi wa Kijiji cha Mharamba Wilaya ya Geita mkoani hapa wamegoma kupokea mradi wa maji wa halmashauri hiyo kutoka Ziwa Victoria kwa madai hawajalipwa ujira wao wa Sh25.5 milioni na mkandarasi.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wananchi wakataa kupokea maabara
Wananchi wa Kata ya Uswaya, wilayani Igunga Mkoa wa Tabora, wamesema hawapo tayari kupokea jengo la maabara lililojengwa katika Shule ya Sekondari ya Igoweko kwa madai kuwa ipo chini ya kiwango.
9 years ago
Habarileo23 Oct
Ruvuma kupokea maendeleo makubwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wananchi mkoani Ruvuma kujiandaa kupokea maendeleo makubwa katika mkoa wao baada ya kuanza kwa shughuli ya uchimbaji madini ya urani yaliyogundulika kwa wingi katika mto Mkuju uliopo kwenye Pori la Akiba la Selous wilayani Namtumbo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania