Wanne wapunguzwa BSS
NA MWANDISHI WETU
WASHIRIKI kutoka Dar es Salaam, Greylove Mwidunda, Sarah Jackson na Nassor Amry pamoja na mshiriki kutoka Mkoa wa Mbeya, Bezalel Nataaniel, wameaga shindano la kusaka vipaji vya wanamuziki Bongo Star Search (BSS).
Kutolewa kwa washiriki hao wanne kumefanya shindano hilo libakiwe na washiriki 15 wanaoendelea na kambi.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema washiriki waliotolewa walikuwa na kasoro ndogondogo katika uimbaji ikilinganishwa na washiriki...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Aug
10 wapunguzwa BSS
WASHIRIKI 10 waliokuwa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Stars Search 2015 (BSS), wameaga rasmi usiku wa kuamkia leo.
Washiriki hao walioagwa ni Evance Ernest, Khalid Iddy, Jabu Msangi, Mango Joshua na Jerome Benedicto kutokea Dar es Salaam.
Wengine ni Elisia Moshi, Christina Mbonde wa Mbeya na Ally Kala wa Mwanza na Gervas Miovela wa Arusha.
Majaji wa shindano hilo ambao ni Ritha Paulsen, Master Jay na Salama Jabir, ndio waliohusika katika mchujo huo.
“Kwa kuwa mwisho wa siku...
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Ukarimu wa kupokea wahamiaji wapunguzwa
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
9 years ago
Daily News07 Sep
Four exit 2015 BSS
Daily News
FOUR contestants in the Bongo Star Search (BSS) have been disqualified from the contest. They are Greylove Mwidunda, Sarah Jackson and Nassor Amry from Dar es Salaam and Mbeya's Bezalel Nataaniel. The quartet did not impress the judges as they ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/17.jpg)
MSHINDI WA BSS AONGEZEWA SH. MIL 10
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)08 Oct
2015 BSS reach final
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE 2015 Bongo Star Search (BSS) finalist will be held at King Solomon Hall in Dar es Salaam tomorrow. The finalists are Frida Amani, Kayumba Juma, Angel Kato, Nassib Fonabo, Jacqueline Kakenzi and Kelvin Gerson. View Comments. This paper made a ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmQMls22R4tr*nXUdo15BMlONmeH2vvuHMPtxIwl7xnvxr-OXvKY3mFilbHV8WkFgnMIbVWsazNgO51e85Aaod9/IMG20150914WA0002.jpg?width=650)
PENNY AANGUA KILIO BSS
9 years ago
Habarileo25 Aug
10 wachujwa shindano la BSS 2015
WASHIRIKI 10 mwishoni mwa wiki walishindwa kung’ara katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu na hivyo kuaga shindano hilo.