Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


2015 BSS reach final


2015 BSS reach final
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE 2015 Bongo Star Search (BSS) finalist will be held at King Solomon Hall in Dar es Salaam tomorrow. The finalists are Frida Amani, Kayumba Juma, Angel Kato, Nassib Fonabo, Jacqueline Kakenzi and Kelvin Gerson. View Comments. This paper made a ...

Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Nigeria and Mali reach U17s final

Nigeria and Mali set up an all-African final at the Under-17 World Cup after winning their semi-finals on Thursday.

 

11 years ago

BBC

Libya win shootout to reach final

Libya beat Zimbabwe 5-4 in a penalty shootout to clinch a place in the African Nations Championship final.

 

11 years ago

BBC

Raja reach Club World Cup semi-final

Moroccan champions Raja Casablanca thrill the home fans as they reach the Club World Cup semifinals with victory over Monterrey.

 

9 years ago

Daily News

Four exit 2015 BSS


Four exit 2015 BSS
Daily News
FOUR contestants in the Bongo Star Search (BSS) have been disqualified from the contest. They are Greylove Mwidunda, Sarah Jackson and Nassor Amry from Dar es Salaam and Mbeya's Bezalel Nataaniel. The quartet did not impress the judges as they ...

 

9 years ago

Habarileo

10 wachujwa shindano la BSS 2015

WASHIRIKI 10 mwishoni mwa wiki walishindwa kung’ara katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu na hivyo kuaga shindano hilo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Kayumba ashinda BSS 2015

Mwimbaji kutoka Temeke jijini Dar es Salaam, Kayumba Juma amejinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015 katika kilele cha shindano hilo kilichofanyika Ijumaa hii kwenye ukumbi wa King Solomon, Dar. Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma akiomba dua baada ya kutangazwa kuwa […]

 

9 years ago

GPL

BSS 2015: KILICHOFICHWA NYUMA YA PAZIA CHAFICHUKA

Musa Mateja na Imelda Mtema  MASHINDANO ya Bongo Star Search (BSS) 2015, wikiendi iliyopita yalifikia tamati huku historia ya kwanza ikiwekwa na kijana mwenye umri wa miaka 19 tu, Kayumba Juma aliyeibuka kidedea kwa kuwatupa wenzake 6 waliofaulu kuingia fainali na licha ya shughuli hiyo kumalizika salama, lakini kilichojificha nyuma ya pazia kimefichuka. Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS), Kayumba Juma...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mshindi wa milioni 60 za BSS 2015 kujulikana Ijumaa hii

Mashindano ya kusaka vipaji vya muziki nchini Tanzania kwa mara ya nane mfululizo, Bongo Star Search (BSS) yatafika tamati Ijumaa hii ambapo mshindi atajishindia shilingi milioni 60. Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen Washiriki walioingia 6 bora na wanaohitaji kura za wananchi ili kushinda ni Frida Amani BSS 106, Kayumba Juma BSS 116, Anger […]

 

9 years ago

Michuzi

FAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwandaaji  wa   Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani)  juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point  eneo la Namanga  kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei  Samson Majwala. Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mwandaaji  wa Bongo Star Search...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani