Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha ya wahamiaji ndio bora zaidi

Mpiga picha Mmarekani John Stanmeyer ameshinda shindano la picha bora zaidi mwaka 2014 kwa picha yake ya wahamiaji Djibouti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015…

Mashabiki wengi  wa soka wanaamini nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ndiye bora duniani..lakini kuna hili gazeti moja kutoka Ufaransa la L’Equipe limeorodhesha wachezaji 100 waliofanya vizuri kwa mwaka uliopita wa 2015. Katika orodha hiyo Ronaldo pamoja na mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski wamefanikiwa kuingia hatua ya tano bora. Mastaa waliofanikiwa kushika nafasi tatu za […]

The post Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015… appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.







Herieth paul ndio mwanamitindo kutoka Tanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi duniani, Herieth anakaa jijini New York,Marekani kwasasa.Hawa ndio ma Models wanaofatia kwenye orodha hiyo2.Maria Borges- Angola3. Betty Adowele - (Nigeria,Uingereza)4. Ajak Deng - (Sudan Kusini)5. Roberta Analciso - (Angola)6. Malaika Firth - (Kenya)7. Liya Kebede- (Ethiopia)8. Candice swanepoel - (South Afrika)9.Fatma Said - (Somalia)10.Anais Mali -(Chad)

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika na kwingineko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi ya 50 wafariki Libya

Watu wapatao 50 wamekutwa wamekufa katika sehemu ya mizigo ya boti iliyokuwa imebeba wahamiaji waliokamatwa katika pwani ya Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 20 zaidi wazama Mediterenian

Shirika la IOM lasema limepokea ujumbe wa dharura kutoka kwa meli iliyokuwa ikizama na wahamiaji 300 katika bahari ya Mediterranean

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani

Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya wahamiaji 200 waangamia Libya

Zaidi ya wahamiaji 200 wanahofiwa kufariki baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama pwani ya Libya

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi kusafiri kwenda Austria

Utawala nchini Austria unasema kuwa utatoa treni zaidi hii leo kusafarisha wahamiaji kutoka nchini Hungary ambapo wengi wamekwama

 

10 years ago

KwanzaJamii

ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA

Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia. Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya. Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli. Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani