Wasichana walioelekea Syria waonekana
Kanda ya Video imeonyesha picha za wasichana watatu wa Uingereza waliotoroka makwao kuelekea nchini Syria ili kujiunga na IS.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Wasichana London wajiunga na IS Syria
Uturuki imeshutumu Uingereza kwamba imechelewa kuijulisha nchi hiyo kuhusu wanafunzi wa kike waliokwenda kujiunga na Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Wasichana watorokea Syria kujiunga na IS
Familia za wasichana wa Uingereza wanaodaiwa kusafiri nchini Syria kujiunga na kundi la Islamic State zimewasihi kurudi nyumbani.
9 years ago
GPLALIENS WAONEKANA PALESTINA, ISRAEL, IRAN NA AUSTRALIA!
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wiki iliyopita nilieleza kwa kina ni kwa jinsi gani viumbe wa ajabu wa Aliens walivyoliteka anga la Mexico kwa mgongo wa UFO. Tuliona kuwa Julai 11, 1991, watu wapatao 17 ambao hawakuwa na uhusiano wowote katika maeneo tofauti nchini humo, wakiwa na kamera zao, walinasa picha ya sinia kubwa la chuma karibu kabisa na usawa wa jua ambalo muda mfupi nyuma lilikuwa limepatwa. Sinia hilo...
10 years ago
Bongo520 Aug
Drake na Rihanna warudiana? waonekana night club pamoja
Drake na Rihanna wameanza kuonekana tena pamoja baada ya wawili hao kusemekana kutibuana na kila mmoja kuchukua hamsini zake siku za karibuni. Rihanna na Drake wameonekana kwenye club moja iitwayo Griffin nightclub iliyoko New York Jumatatu usiku, na kuamsha hisia za watu wengi kuwa kuna uwezekano mapenzi yao yamerudi. Inadaiwa kuwa Riri na Drizzy waliingia […]
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
Bongo512 Jul
Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja
Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]
10 years ago
Bongo510 Jun
Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja
Mambo yanazidi kupamba moto kati ya Rihanna na mchezaji wa soka wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema. Wawili hao wameonekana wakila bata pamoja kwenye klabu ya Hollywood usiku wa Jumatatu. Kwa mujibu wa TMZ wawili hao walionekana wakitoka kwenye kiota cha Henry’s na ingawa kila mmoja alitoka kivyake, ilikuwa wazi kuwa walikuwa pamoja. Hiyo […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania