Kichekesho JK kukosoa tume — Mhadhiri
KATIBU wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Faraja Kristomus, amesema ni kichekesho kwa Rais Jakaya Kikwete kukosoa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Kristomus alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P1grUBljdm0/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
BAWACHA: Hatutaacha kukosoa Katiba pendekezwa
BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limesema kuwa halitaacha kuwaeleza wananchi mapungufu yaliyopo kwenye Katiba Pendekezwa kwani Rais Jakaya Kikwete ndiye aliyeanza kampeni kabla ya wakati ya kuhamasisha wananchi kuipigia kura...
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Ashtakiwa kwa kukosoa chama tawala China
11 years ago
Habarileo21 Jun
Kikwete akusudia kuwa mhadhiri
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, amesema anatarajia kurejea darasani kushika tena chaki, kwa kuwa Mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Mhadhiri raia wa Ujerumani afa ajalini
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Mhadhiri UDSM ataka kumrithi Komba
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Taasisi ya Taaluma na Maendeleo, Dk. Stephen Maluka, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Nyasa (Mbinga Magharibi) mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Oktoba mwaka huu.
Dk. Maluka mwenye Shahada ya Uzamivu ya Afya ya Jamii aliyopata nchini Sweden, amejitosa kugombea jimbo hilo ambalo awali lilijulikana kama Mbinga Magharibi na lilikuwa likiongozwa na marehemu Kapteni John...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
10 years ago
Habarileo10 Jan
Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua
MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.