Ashtakiwa kwa kukosoa chama tawala China
Mwanasheria wa haki za binadamu nchini China ameshtakiwa nchini humo kwa kukikosoa chama tawala.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog07 Nov
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA TAWALA CHA CHINA
![po2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po2.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano(picha na Freddy Maro).
![po3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po3.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipiga picha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H3R21J-deoE/VjzbWHJkJfI/AAAAAAAIEuw/iXXbCvBqNT8/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Rais Magufuli akutana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping
![](http://3.bp.blogspot.com/-H3R21J-deoE/VjzbWHJkJfI/AAAAAAAIEuw/iXXbCvBqNT8/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RidMNIxYd8A/VjzbWKBoTGI/AAAAAAAIEu0/8x2XQWERDZM/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Anguko la makada wa chama tawala
Salma Said, TUNAPOULIZANA sababu “hasa” za anguko la makada wakubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kura za maoni za kutafuta uteuzi wa kugombea uwakilishi na ubunge majimboni Zanzibar, muhimu kwanza tukumbushane ukweli kuwa kisiasa, CCM […]
The post Anguko la makada wa chama tawala appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Chadema chama tawala Arusha
SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa chama tawala mkoani Arusha ilihitimishwa rasmi Jumatatu
Paul Sarwatt
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Chama tawala chashinda uchaguzi Botswana
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Watetezi wa chama tawala Burundi wauawa
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Chama tawala chashinda uchaguzi Zambia
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Obasanjo achana kadi ya chama tawala
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, juzi alichana kadi yake ya uanachama wa chama tawala cha Peoples Democratic (PDP) na kutangaza kuachana na siasa.
Obasanjo aliichana kadi yake hiyo katika makazi yake ya Hilltop huko Abeokuta Kaskazini wakati akizungumza na viongozi wa PDP kutoka kata 11.
Viongozi wa chama hicho katika kata hizo walienda kumwona Obasanjo ili kusafisha hali ya hewa baada ya kuibuka minong’ono kwamba ametimuliwa kutoka chama...
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Moto wawaka chama tawala CCM Tanzania