Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhadhiri UDSM atajwa Urais kupitia NCCR

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk George Kahangwa VIJANA wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamempendekeza Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk George Kahangwa (46) kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho, atakayeshindanishwa na wagombea wengine wa kambi ya upinzani, endapo wataamua kuungana kwa mwavuli wa umoja wao waliouanzisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mhadhiri UDSM ataka kumrithi Komba

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam

MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Taasisi ya Taaluma na Maendeleo, Dk. Stephen Maluka, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Nyasa (Mbinga Magharibi) mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Oktoba mwaka huu.

Dk. Maluka mwenye Shahada ya Uzamivu ya Afya ya Jamii aliyopata nchini Sweden, amejitosa kugombea jimbo hilo ambalo awali lilijulikana kama Mbinga Magharibi na lilikuwa likiongozwa na marehemu Kapteni John...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato haukuzingatia mwafaka wa kitaifa, asema mhadhiri UDSM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bashiru Ally amesema mchakato wa kutunga Katiba, haukuzingatia umuhimu wa kujenga mwafaka wa kitaifa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda atajwa mbio za Urais 2015

PG4A2888

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipigiwa magoti na Matrida Kitwanga (kulia) mke wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kulia) baada ya kuwasili nyumbani kwa Naibu Waziri huyo, eneo la Usagara, nje kidogo ya jiji la Mwanza ambako alikwenda kumpa pole kufuatia kifo cha mwanae Vedastus Kitwanga kilichotokea hivi karibuni. Katikati ni binti wa familia hiyo,Agnes Misoji Kitwanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Na Mwandishi wetu

Wakati makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MWANGA KUPITIA NCCR-MAGEUZI ,YOUNGSEVIER MSUYA ARESHA FOMU

Mtia nia wa nafasi ya Ubunge jimbo la Mwanga kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ,Wakili wa kujitegemea ,Youngsevier Msuya akisalimia wakati msafara wake ukipita katika maeneo mbalimbali ya mji wa Mwanga.Msafara wa Magari na Pikipiki wa mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Mwanga kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi Wakili wa kujitegemea,Youngsevier Msuya ukitoka eneo la Njia Panda kuelekea wilaya ya Mwanga kwa ajili ya zoezi la Urejeshaji wa fomu.
Msafara wa Mtia nia ,Wakili wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo za IRAWMA, Marekani kupitia ‘Mdogo mdogo’, anachuana na Davido, Awilo Longomba na Bracket

Kwa mara nyingine Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa nchini Marekani, ambapo safari hii wimbo wake wa ‘Mdogo mdogo’ wenye miezi miwili tangu utoke umemuwezesha kuingia kwenye tuzo za IRAWMA (International Reggae and World Music Awards). Wimbo wa ‘Mdogo mdogo’ wa Diamond umeingia kwenye tuzo hizo katika kipengele cha ‘Best African Song/Entertainer’. Kwa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kahangwa: Nitawania urais NCCR- Mageuzi

Majuma mawili tangu Umoja wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi umtake, Dk George Kahangwa (46) kugombea urais, mhadhiri huyo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema ameridhia wito huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema

>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeponda kauli ya Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kwamba Katibu mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani, Dk Willibrod Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Mtanzania

NCCR- Mageuzi kumteua Dk. Kahangwa urais 2015

George_KahangwaNA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
UMOJA wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi, umempitisha Dk. George Kahangwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho ambaye atachuana na wagombea wengine watakaopitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Uamuzi wa kumpitisha mgombea huyo umekuja baada ya Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia, kudai kuwa hatogombea tena nafasi hiyo kwa sababu anakwenda kugombea ubunge katika Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza na waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani