Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF: Uundaji Katiba unahitaji serikali ya kitaifa

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuunda serikali ya umoja wa kitaifa itakayosimamia na kukamilisha mchakato wa Katiba mpya. Alisema kwa sasa kuna...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Mchakato wa Katiba unahitaji mwafaka wa kitaifa’

Kumekuwa na hali ya sintofahamu tangu kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa. Hii imetokana na ukweli kwamba, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba, umepitia misukosuko mingi, ikiwamo kupingwa na makundi mbalimbali ndani ya jamii.

 

10 years ago

Habarileo

CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR ulioanza wiki hii mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe. (Na Mpigapicha Wetu).CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CUF yasisitiza serikali tatu Katiba mpya

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitatetea maoni ya wananchi waliyoyatoa wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipokusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya ya kutaka serikali tatu. Hayo yalisemwa juzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata huu wa upitishaji Katiba unahitaji ufafanuzi

Pamoja na Bunge la Katiba kupitisha ‘Katiba Inayopendekezwa’, utata mkubwa umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitisha Katiba hiyo. Utata huo unatokana na kura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa Zanzibar, wajumbe waliokuwa Hijja nchini Saudi Arabia na zile za baadhi ya wajumbe wanaodaiwa kuhamishwa kinyemela ili wapige kura kama wajumbe wa kundi linalotoka Bara au Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Wataka mkutano wa kitaifa uelewa Katiba pendekezwa

Makamu Mwenyekiti wa Jukata, Hebroni MwakagendaJUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limesema ipo haja ya serikali kuitisha mkutano mkuu wa kitaifa wa kikatiba utakaoleta uelewa wa kutosha wa masuala yote katika Katiba pendekezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Uundaji wa misamiati ya lugha ya Kiswahili

Lugha hukua na kubadilika kila wakati kulingana na maendeleo ya jamii. Vigezo mojawapo muhimu vya kukua na kubadilika kwa lugha ni kuongezeka kwa msamiati na watumiaji wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametangaza mapendekezo maalumu ya uundwaji wa serikali ya Umoja wa kitaifa nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar yaparaganyika

Wakati mazungumzo ya kutatua mgogoro wa kisiasa Zanzibar yakiendelea, utendaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), unaonekana kuparaganyika baada ya mawaziri wa CUF kususia kazi, wakidai Serikali hiyo imeshamaliza muda wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani