Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT-Wazalendo yalilia maisha ya Wazanzibari

ZittoNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

HALI ya kisiasa visiwani Zanzibar, imeelezwa kuathiri maisha ya wananchi huku bei za vyakula ikipanda kwa kasi na kufikia asilimia 16 hadi 30.

Licha ya hali hiyo pia mfumko wa bei  umepaa na kufikia asilimia 11,  tofauti na miaka ya hivi karibuni.

Taarifa iliyotolewa jana na Kiongozi  wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe,  ilieleza kuwa sekta ya utalii ambayo ni muhimu kwa uchumi wa Zanzibar imeathirika kiasi kikubwa, ambapo hivi sasa hoteli  zimekuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

9 years ago

TheCitizen

ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate

The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) is holding internal meetings to appoint the party’s presidential flag-bearer for the October 25 General Election.

 

10 years ago

TheCitizen

Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says

Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo kuimarisha kilimo

Mgombea urais kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira amesema umaskini wa Mtanzania hauwezi kuondolewa kwa maneno, bali ni katika kutekeleza shughuli za kilimo.

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo

Chama cha ACT-Wazalendo juzi kimehitimisha siku 10 za awamu ya kwanza kwa kutembelea mikoa minane ya Tanzania Bara, huku wakisisitiza kaulimbiu yao ya utu, uzalendo na uadilifu.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano

Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanachama CCM watimkia ACT- Wazalendo

Zaidi ya wanachama 100 kutoka CCM, Kata ya Chihanga, Manispaa ya Dodoma wamejiunga na ACT- Wazalendo.

 

9 years ago

Mwananchi

Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu

Sintofahamu imetanda ndani ya Chama cha ACT – Wazalendo juu ya hatima ya mgombea wa urais baada ya mgombea aliyependekezwa na kuchukuliwa fomu ya kuomba uteuzi, Profesa Kitila Mkumbo kuikataa nafasi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

ACT Wazalendo wahofia usalama wa Slaa

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefuta mikutano yote ambayo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alikuwa aifanye kuanzia kesho kupitia jukwaa la chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani