TAMISEMI yatoa ufafanuzi uhaba wa vyakula mashuleni
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusu baadhi ya Shule za Sekondari za Bweni zilizofungwa kutokana na ukosefu wa chakula ambapo alisema shule hizo zimefungwa kimakosa kwani Serikali imeshapeleka fedha za kununulia chakula kwenye halmashauri zote nchini. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Elimu TAMISEMI Bw. Zuberi Samataba.
Naibu Katibu Mkuu Elimu TAMISEMI Bw. Zuberi Samataba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Jul
KAMPUNI YA MEGATRADE YATOA MSAADA YA VYAKULA MASHULENI
![C](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/EZvcrJvcURDKlPMdvyhHOoh3RjyP1Ew6_-XGT4gADJP13xm3_vchQa-_pZrhLWkczEEZ_sQd5tpD7POp4r4wSvkHbpfxY2u4m2ibex_NJBhuigVRC0Xy=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/c.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIl-QZJJVm2rf6l4nHYAD53GlNbxLfmeamppCP2g7Cqc0lL1vG-khPPVroK-fjPzuVnKwaf1ml2T6Ieeb*TqCg5/TAMISEMI1.jpg?width=650)
TAMISEMI YATOA MAFUNZO KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa
11 years ago
Mwananchi17 Jul
TPDC yatoa ufafanuzi mkataba wa Statoil
9 years ago
Habarileo27 Aug
Idara yatoa ufafanuzi kufungwa shule
IDARA ya Elimu mkoani Dar es Salaam imefafanua juu ya kufungwa kwa shule za msingi, ikisisitiza kuwa uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba hautaathiri mihula ya masomo.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Ujiji yatoa ufafanuzi malipo ya walimu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imesema malipo ya madai mbalimbali yaliyofanywa kwa walimu wa manispaa hiyo yalifanyiwa uhakika wa kutosha na kujiridhisha kwamba waliolipwa ndiyo wanaostahili.
10 years ago
MichuziZANTEL YATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAZEE Z'BAR
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru