Idara yatoa ufafanuzi kufungwa shule
IDARA ya Elimu mkoani Dar es Salaam imefafanua juu ya kufungwa kwa shule za msingi, ikisisitiza kuwa uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba hautaathiri mihula ya masomo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Uhamiaji yatoa ufafanuzi ajira zilizositishwa
9 years ago
Habarileo24 Oct
Ujiji yatoa ufafanuzi malipo ya walimu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imesema malipo ya madai mbalimbali yaliyofanywa kwa walimu wa manispaa hiyo yalifanyiwa uhakika wa kutosha na kujiridhisha kwamba waliolipwa ndiyo wanaostahili.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
TPDC yatoa ufafanuzi mkataba wa Statoil
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
9 years ago
Mtanzania21 Oct
NEC yatoa ufafanuzi utaratibu wa kupiga kura
JONAS MUSHI NA ALLEN MSAPI (GHITBS), DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ufafanuzi zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayowakanganya wananchi na kuibua taharuki kuhusu upigaji kura katika uchaguzi mkuu Jumapili ijayo.
Juzi, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva, alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kufafanua masuala yaliyokuwa yakihojiwa na wananchi kuhusu upigaji kura, taarifa ambayo nayo iliibua maswali mengine.
Moja ya suala lililoleta utata ni taarifa kuwa mtu...