Mariah Carey — kufuli nje nje kwenye show ya China (Picha)
Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani Asia. Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Jul
Ch*chu nje nje: Huddah apost picha za aibu kwenye Instagram!
Huddah Monroe anafahamika kwa maisha yake controversial hivyo si jambo la ajabu kwa followers wake wa Instagram kumuona akila bata kwenye beach za Ulaya huku akiwa na nguo inayoonesha nipples zake! Jionee mwenyewe! Nipples nje nje! Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JpcdsNlIfw0/default.jpg)
10 years ago
Bongo522 Jun
Picha: Mariah Carey akila bata na bilionea aliyechukua nafasi ya Nick Cannon
Baada ya kuachana na mume wake Nick Cannon aliyezaa naye watoto wawili mapacha, Mariah Carey anaonekana kusonga mbele na kuanzisha uhusiano na bilionea James Packer, mmiliki wa macasino nchini Marekani. Mariah ameonekana akila bata la hatari na tajiri huyo anayezunguka naye kwenye nchi mbalimbali na weekend hii walikuwa Italia. Related Tags:
10 years ago
Bongo507 Oct
Picha: Nick Cannon aifunika Tattoo ya Mariah Carey kwa kuchora nyingine juu yake
Nick Cannon aliwahi kuchora Tattoo yenye jina la mke wake ‘Mariah’ mgongoni mwake miaka kadhaa iliyopita, ikiwa ni moja ya ishara ya mapenzi moto moto. Baada ya ndoa yao kuingia dosari na kutengana hivi karibuni, Nick Jumapili iliyopita akiwa anatoka gym kifua wazi ameonekana akiwa amechora Tattoo nyingine kubwa zaidi mgongoni, na kuiziba ile ya […]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pFDRfNBrd2Q/VZUK0qWPydI/AAAAAAABBxo/VNhC0HNmT_0/s72-c/Bi.jpg)
MWANAMUZIKI MARIAH CAREY APATA WAKATI MGUMU PALE ALIPOTELEZA KWENYE NGAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pFDRfNBrd2Q/VZUK0qWPydI/AAAAAAABBxo/VNhC0HNmT_0/s640/Bi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zndF91A94C0/VZUK1W8OM-I/AAAAAAABBx4/ROtw_hVDVZE/s640/Bi4.jpg)
Wakati Mariah akijaribu kujinusuru asianguke huku akiwa amevalia viatu vyenye visigino virefu bilionea Packer (47) alikuwa amekaa tu akipata mionzi ya jua katika boti yake hiyo huku akimuangalia mpenzi wake...
10 years ago
Bongo505 Jun
New Video: Mariah Carey — Infinity
Mariah Carey ametoa video yake mpya ya wimbo “Infinity” kutoka kwenye album yake mpya ya Infinity. Related Tags:
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-r49MQBx0NiY/VUMvsIpbb9I/AAAAAAAABa8/96cdH4DNJII/s72-c/Mariah-Carey-%E2%80%93-Infinity.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypmWdrZxG8BRRcy46E9aMJyHrEOzXssicvUp8d-yNGLgK8rThA9958jxdiq7QEz0BYAN71iqoROkin6aT3I-ypfE/mariahcareystylehasdinneratcraigsrestaurantjan.2015_1.jpg?width=650)
MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA
Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon. Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.
Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania