Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMUZIKI MARIAH CAREY APATA WAKATI MGUMU PALE ALIPOTELEZA KWENYE NGAZI

Mwanamuziki Mariah Carey amepata wakati mgumu pale alipoteleza kwenye ngazi za boti ya kifahari ya mpenzi, huku mpenzi wake huyo James Packer akibaki anamuangalia tu wakati akipata msaada wa mmoja wa walinzi.               Mlinzi huyo alikuwa na kazi kubwa ya kumsaidia Mariah asidondoke
Wakati Mariah akijaribu kujinusuru asianguke huku akiwa amevalia viatu vyenye visigino virefu bilionea Packer (47) alikuwa amekaa tu akipata mionzi ya jua katika boti yake hiyo huku akimuangalia mpenzi wake...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa apata wakati mgumu

Klabu ya soka Yanga imewazuia nyota wake kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars na badala yake wachezaji wote wa kikosi hicho waliondoka jana kwenda Tukuyu Mbeya kuweka kambi.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangala apata wakati mgumu kuitetea CCM

Mwakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mdahalo wa MkikiMkiki unaohusu Uchaguzi Mkuu uliofanyika jijini Dar es Salaam, Dk Hamis Kigwangala jana alikuwa na wakati mgumu kutetea sera za chama hicho tawala katika sekta za elimu na afya.

 

10 years ago

Bongo5

Mariah Carey — kufuli nje nje kwenye show ya China (Picha)

Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani Asia. Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Mariah Carey — Infinity

Mariah Carey ametoa video yake mpya ya wimbo “Infinity” kutoka kwenye album yake mpya ya Infinity. Related Tags:

 

10 years ago

GPL

MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA

Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon. Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.
Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na  tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita… ...

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Bongo5

Mariah Carey to perform in South Africa in 2016

mariah SA

On Monday (14 December) Live Nation and Big Concerts announced that American singer-songwriter and actress Mariah Carey is making her first trip to the country in 2016 for her ‘Sweet Sweet Fantasy’ tour.

mariah SA

Following the success of her Las Vegas residency the diva is set to entertain adoring fans on 1 & 2 May 2016 at Ticketpro Dome.

The star has said, “Lambily, it’s been too long!! I’m so excited to be coming to South Africa to perform for you all. I promise we’re going to share the most...

 

10 years ago

Bongo5

Mariah Carey na Nick Cannon watengana, talaka inafuata

Imebainika kuwa Mariah Carey na Nick Cannon wametangana tangu May mwaka huu na wamekuwa wakiishi mbalimbali. Mtandao wa TMZ umedai kuwa mawakili wa masuala ya talaka wamekuwa wakijadiliana nao kuhusiana na kugawana mali na nani ataishi na watoto wao na kwamba talaka imekamilika. Vyanzo vilivyo karibu na wanandoa hao vimedai kuwa Mariah na Nick wamekuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani