Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinachommaliza Owino Simba chatajwa

7NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.

Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kinachoitesa Simba chatajwa

SIKU mbili tangu Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva alipowataka wanachama na mashabiki timu hiyo kuwa kitu kimoja katika kipindi kigumu cha timu kuvuna sare katika mechi mbili za...

 

10 years ago

GPL

Benchi lamuondoa Owino Simba SC

Beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino. Na Wilbert Molandi
BENCHI limetajwa ndiyo chanzo cha beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino kuchukua maamuzi ya kurudi kwao na kuiacha timu hiyo inayoendelea na michuano ya Kombe la Mapinduzi. Beki huyo, hivi karibuni alirejea nyumbani kwao Uganda mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar ambayo Simba ilifungwa bao 1-0 huku Owino akianzia benchi....

 

10 years ago

Mwananchi

Owino awa nahodha Simba

Kocha wa Simba, Patrick Phiri amemteua beki Joseph Owino kuwa nahodha mpya wa timu hiyo na atasaidiwa na kiungo mkongwe, Shaaban Kisiga.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Owino agree terms

Tanzanian giants Simba SC have already agreed terms with Gor Mahia’s David Calabar Owino over his transfer to the club.

 

11 years ago

GPL

Loga ampeleka Owino Simba B, agoma

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Phillip Nkini
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amemwambia beki wake Joseph Owino aende akafanye mazoezi na timu B. Owino alikorofishana na kocha huyo Alhamisi iliyopita wakati wa mazoezi kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam, baada ya kudaiwa kuwa kocha huyo alimtukana. Akizungumza na Championi Jumatatu jana, Owino alisema kuwa amepewa ujumbe na meneja wa timu hiyo Nico...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba welcome Kenyan defender Owino for trials

The two Kenyans they signed earlier this year might have flopped, but that hasn’t diluted Simba’s interest in players from the neighbouring country.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.

 

10 years ago

Habarileo

Kinachokwamisha mapato serikalini chatajwa

OFISI ya Msajili wa Hazina imesema mashirika na taasisi nyingi za umma zinatumia upungufu uliopo katika Sheria ya Msajili wa Hazina kushindwa kuwasilisha mapato yanayostahili kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani