Kinachokwamisha mapato serikalini chatajwa
OFISI ya Msajili wa Hazina imesema mashirika na taasisi nyingi za umma zinatumia upungufu uliopo katika Sheria ya Msajili wa Hazina kushindwa kuwasilisha mapato yanayostahili kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n3DLAC2lBwc/VdQiQNOlBmI/AAAAAAAHyGI/waRzZ4uwBbA/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI YAONGEZA UFANISI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO
Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali yamepunguza upotevu wa mapato uliokuwa ukisababishwa na watendaji wasio waaminifu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Arusha na Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Adorf Mapunda wakati akifunga awamu ya kwanza ya mkutano wa mwaka wa Serikali Mtandao uliowahusisha maafisa TEHAMA,Rasilimali watu,Utawala na Maafisa Habari kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Amesema mabadiliko...
11 years ago
Habarileo18 Apr
Serikali yataja kinachokwamisha mawasiliano vijijini
SERIKALI imesema changamoto kubwa inayozuia kufika kwa mawasiliano vijijini ni kukosekana kwa utayari kwa kampuni za simu za mikononi kutoa huduma hizo.
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-819XMp_rjQc/Xs-Pv_DpyvI/AAAAAAALr1Y/epsoxUnoTsURcTv07dkFO8QmEyU-fRjnwCLcBGAsYHQ/s72-c/Chalamila%2B%25281%2529.jpeg)
RC CHALAMILA ABAINI KINACHOKWAMISHA MAENDELEO YA UTALII FUKWE ZA ZIWA NYASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-819XMp_rjQc/Xs-Pv_DpyvI/AAAAAAALr1Y/epsoxUnoTsURcTv07dkFO8QmEyU-fRjnwCLcBGAsYHQ/s640/Chalamila%2B%25281%2529.jpeg)
Chalamila alieleza jinsi ambavyo barabara iliyojengwa kwa maagizo ya Rais John Magufuli kutoka Kyela Mjini hadi fukwe za Matema, iliyogharimu Sh. 65 bilioni ilivyoongeza fursa ya ukuaji...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Kinachoitesa Simba chatajwa
SIKU mbili tangu Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva alipowataka wanachama na mashabiki timu hiyo kuwa kitu kimoja katika kipindi kigumu cha timu kuvuna sare katika mechi mbili za...
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kinachommaliza Owino Simba chatajwa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.
Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...
9 years ago
Bongo Movies17 Nov
Chanzo Lulu Kutodumu na Wanaume Chatajwa
Ubuyu! Licha kujaliwa umbo matata na mvuto wa aina yake, staa wa Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kutodumu na mwanaume, Ijumaa Wikienda limetajiwa chanzo cha hali hiyo.
Kwa mujibu wa sosi wa ndani wa familia ya staa huyo, chanzo kikubwa cha Lulu kutodumu na mwanaume anayempata kama mwandani wake ni mama yake, Lucresia Karugila.
Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Wema Sepetu zamani, mama yake, Miriam Sepetu alidaiwa kumwekea ‘patroo’ mrembo huyo kwa kumchagulia mwanaume wa...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kiini cha majengo mabovu chatajwa
UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.