Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinachokwamisha mapato serikalini chatajwa

OFISI ya Msajili wa Hazina imesema mashirika na taasisi nyingi za umma zinatumia upungufu uliopo katika Sheria ya Msajili wa Hazina kushindwa kuwasilisha mapato yanayostahili kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI YAONGEZA UFANISI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

Na.Aron Msigwa - MAELEZO,ARUSHA
Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali yamepunguza upotevu wa mapato uliokuwa ukisababishwa na watendaji wasio waaminifu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Arusha na Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Adorf Mapunda wakati akifunga awamu ya kwanza ya mkutano wa mwaka wa Serikali Mtandao uliowahusisha maafisa TEHAMA,Rasilimali watu,Utawala na Maafisa Habari kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Amesema mabadiliko...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataja kinachokwamisha mawasiliano vijijini

SERIKALI imesema changamoto kubwa inayozuia kufika kwa mawasiliano vijijini ni kukosekana kwa utayari kwa kampuni za simu za mikononi kutoa huduma hizo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini

Makocha wengi nchini wanataka Serikali iingilie kati kuinususuru sekta ya michezo ambayo hivi sasa haifanyi vizuri.

 

5 years ago

Michuzi

RC CHALAMILA ABAINI KINACHOKWAMISHA MAENDELEO YA UTALII FUKWE ZA ZIWA NYASA

RC Chalamila abaini kinachokwamisha maendeleo ya utalii fukwe za Ziwa Nyasa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Mbeya, Albert Chalamila wiki hii alifanya ukaguzi wa Fukwe za Ziwa Nyasa, hususan eneo la fukwe za Matema wilayani Kyela kwa lengo la kubaini changamoto zinazokwamisha maendeleo ya Sekta ya Utalii katika eneo hilo.
Chalamila alieleza jinsi ambavyo barabara iliyojengwa kwa maagizo ya Rais John Magufuli kutoka Kyela Mjini hadi fukwe za Matema, iliyogharimu Sh. 65 bilioni ilivyoongeza fursa ya ukuaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kinachoitesa Simba chatajwa

SIKU mbili tangu Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva alipowataka wanachama na mashabiki timu hiyo kuwa kitu kimoja katika kipindi kigumu cha timu kuvuna sare katika mechi mbili za...

 

10 years ago

Mtanzania

Kinachommaliza Owino Simba chatajwa

7NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.

Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...

 

9 years ago

Bongo Movies

Chanzo Lulu Kutodumu na Wanaume Chatajwa

Ubuyu! Licha kujaliwa umbo matata na mvuto wa aina yake, staa wa Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kutodumu na mwanaume, Ijumaa Wikienda limetajiwa chanzo cha hali hiyo.
Kwa mujibu wa sosi wa ndani wa familia ya staa huyo, chanzo kikubwa cha Lulu kutodumu na mwanaume anayempata kama mwandani wake ni mama yake, Lucresia Karugila.

Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Wema Sepetu zamani, mama yake, Miriam Sepetu alidaiwa kumwekea ‘patroo’ mrembo huyo kwa kumchagulia mwanaume wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kiini cha majengo mabovu chatajwa

UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani