Kinachoitesa Simba chatajwa
SIKU mbili tangu Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva alipowataka wanachama na mashabiki timu hiyo kuwa kitu kimoja katika kipindi kigumu cha timu kuvuna sare katika mechi mbili za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kinachommaliza Owino Simba chatajwa
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
IMEELEZWA mvutano wa maslahi wa mara kwa mara kati ya wachezaji wa Simba SC na viongozi wao unachangia kushusha viwango vyao kutokana na kutumia muda mwingi kufuatilia haki zao badala ya kuendeleza vipaji vyao, jambo ambalo linadaiwa kummaliza beki Mganda, Joseph Owino.
Mwishoni mwa mwaka jana baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba waliujia juu uongozi wao na kutaka kulipwa stahiki zao kwa wakati, akiwemo beki mahiri Mganda, Owino, ambaye aligoma kuichezea...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Rushwa, Kirusi kinachoitesa CCM
10 years ago
Habarileo13 Jun
Kinachokwamisha mapato serikalini chatajwa
OFISI ya Msajili wa Hazina imesema mashirika na taasisi nyingi za umma zinatumia upungufu uliopo katika Sheria ya Msajili wa Hazina kushindwa kuwasilisha mapato yanayostahili kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
9 years ago
Bongo Movies17 Nov
Chanzo Lulu Kutodumu na Wanaume Chatajwa
Ubuyu! Licha kujaliwa umbo matata na mvuto wa aina yake, staa wa Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kutodumu na mwanaume, Ijumaa Wikienda limetajiwa chanzo cha hali hiyo.
Kwa mujibu wa sosi wa ndani wa familia ya staa huyo, chanzo kikubwa cha Lulu kutodumu na mwanaume anayempata kama mwandani wake ni mama yake, Lucresia Karugila.
Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Wema Sepetu zamani, mama yake, Miriam Sepetu alidaiwa kumwekea ‘patroo’ mrembo huyo kwa kumchagulia mwanaume wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Chanzo cha kuporomoka ufaulu chatajwa
WADAU wa elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wamesema moja ya sababu zinazochangia kuporomoka kwa ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ni manyanyaso ya walimu wa...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chanzo cha upungufu wa dawa chatajwa
SERIKALI imesema tatizo la upungufu wa dawa katika Zahanati, vituo vya afya na hospitali za umma nchini, limetokana na tabia ya maslahi binafsi ya baadhi ya watumishi, ambao huhitaji mgawo wa asilimia 10 ya mauzo ya dawa katika maduka binafsi.
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kiini cha majengo mabovu chatajwa
UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
11 years ago
GPLCHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Chanzo cha kukosekana maendeleo ya haraka chatajwa
UKOSEFU wa midahalo miongoni mwa Watanzania kuhusu uongozi na utawala bora imeelezwa kusababisha kukosekana kwa maendeleo katika sekta mbalimbali nchini.