Chanzo Lulu Kutodumu na Wanaume Chatajwa
Ubuyu! Licha kujaliwa umbo matata na mvuto wa aina yake, staa wa Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kutodumu na mwanaume, Ijumaa Wikienda limetajiwa chanzo cha hali hiyo.
Kwa mujibu wa sosi wa ndani wa familia ya staa huyo, chanzo kikubwa cha Lulu kutodumu na mwanaume anayempata kama mwandani wake ni mama yake, Lucresia Karugila.
Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Wema Sepetu zamani, mama yake, Miriam Sepetu alidaiwa kumwekea ‘patroo’ mrembo huyo kwa kumchagulia mwanaume wa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chanzo cha upungufu wa dawa chatajwa
SERIKALI imesema tatizo la upungufu wa dawa katika Zahanati, vituo vya afya na hospitali za umma nchini, limetokana na tabia ya maslahi binafsi ya baadhi ya watumishi, ambao huhitaji mgawo wa asilimia 10 ya mauzo ya dawa katika maduka binafsi.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Chanzo cha kuporomoka ufaulu chatajwa
WADAU wa elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wamesema moja ya sababu zinazochangia kuporomoka kwa ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ni manyanyaso ya walimu wa...
11 years ago
GPLCHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Chanzo cha kukosekana maendeleo ya haraka chatajwa
UKOSEFU wa midahalo miongoni mwa Watanzania kuhusu uongozi na utawala bora imeelezwa kusababisha kukosekana kwa maendeleo katika sekta mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo29 May
Chanzo cha kutopungua vifo vya akinamama chatajwa
SERIKALI imesema kwamba kutofikiwa kwa lengo la kupunguza vifo vya akinamama kwa mujibu wa Malengo ya Milenia, hakutokani na kukosekana kwa mpango mkakati.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Sh7zTInlQpu3i1sjfQTcC3uyJPT-0l-fxHOARxU0SKhj4P4eexrmLi1UourozTXyD3vHIkb8*zxOcZSJsNF6aP6*0p*QPt*7/wema.gif?width=650)
WEMA KUBADILI WANAUME, CHANZO NI HIKI
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
PSI: Wanaume chanzo saratani ya mlango wa uzazi
WANAUME wametajwa kuwa chanzo kikuu cha wanawake kupata ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi ambayo imekuwa tishio kwa sasa. Mshauri wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la PSI-Tanzania, Dk. Mashafi...
10 years ago
Habarileo23 Aug
‘Wanaume wasiotahiriwa chanzo cha saratani ya shingo ya kizazi’
IMEELEZWA kuwa wanawake wanaopata ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi kwa kiasi kikubwa inatokana na kufanya mapenzi na wanaume ambao hawajatahiriwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbL3QxcVnnXGRTTcwrDyGcEvn-CaZjfUyXVevlqVPQmLGbSUAmNDd1V3Ps*zZRVahijAWTiYJWhReY-F0iD0HSr/lulu.jpg?width=650)
LULU AANIKA ‘UPAJA’ KUWATEGA WANAUME