Julio awaza kusajili kimataifa
Huku ikisisitiza kutokubaliana na uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wa kuipa pointi tatu Stand United, klabu ya Mwadui FC imesema itafanya usajili wa nguvu wa wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi kama uliofanywa na Azam FC.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Shija Awaza ‘Safari ya Zanzibar’
Baada ya Love&Pain muongozaji na muongozaji wa filamu, Deogratius Shija anatarajia kutoa filamu mpya ya ‘Safari ya Zanzibar’
Akizungumza na gazeti la Nipashe, Shija alisema Safari ya Zanzibar’ inasubiri kidogo kutolewa ili kuipanafasi ya mauzo Love&pain.
“Filamu yangu mpya natarajia kutoa siku yoyote kwa sababu nimeipa nafasi filamu ya kwanza ambayo nimeitoa mwezi uliopita ,”alisema Shija.
“Na hii naamini itauzika vizuri kutokana na kile nilichokifanya katika filamu...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Loga sasa awaza nafasi ya tatu
BAADA ya Simba kukosa mwelekeo katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Zdravko Logarusic, ametamba kuhakikisha wanashinda mechi zilizosalia ili walau washike nafasi tatu za juu. Simba...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Simba kusajili watano
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Azam kusajili wapya
11 years ago
Mwananchi22 May
Namna ya kusajili biashara yoyote
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wateja wahimizwa kusajili laini
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imezindua zoezi la kuhamasisha wateja kusajili laini zao. Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Pratap Ghose, alisema juzi kuwa kampeni hiyo inalenga kutambua wateja wote...
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barcelona yapigwa ‘stop’ kusajili
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Yanga yahofia kusajili ‘makapi’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.
Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...