Ngasa finally joins SA team
Dar es Salaam. Former Young Africans striker Mrisho Ngassa has completed his lucrative move to South Africa’s Premier League side, Free State Stars, after agreeing a four-year deal.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Jun
Migiro finally joins Ikulu race
Dodoma. Cabinet minister Asha-Rose Migiro finally joined the Kikwete succession race, declaring it was time for a woman to claim the presidency.
11 years ago
Michuzi25 Jul
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...
11 years ago
TheCitizen06 Jul
We don’t fear SA team, says Dar team coach
Newly appointed Serengeti Boys coach, Hababuu Omari says his team have nothing to fear ahead of the 2015 Africa Youth Championship qualifier against South Africa’s Amajimbos.
11 years ago
Michuzi
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.

Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
11 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...
10 years ago
Mwananchi16 May
Usajili wa Ngasa gumzo Sauzi
Dar es Salaam. Usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa kujiunga na klabu ya Free State Stars kwa mkataba wa miaka minne umezua gumzo nchini Afrika Kusini.
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Yanga kumlipia Ngasa deni

Ngasa alilazimika kukopa fedha benki baada ya kuamriwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kuilipa Simba Sh. milioni 45 alizochukua ili ajiunge nayo lakini akaikacha na kutua Yanga. Kamati hiyo pia ilimfungia mechi sita za awali za Ligi Kuu ya Tanzania Bara...
10 years ago
TheCitizen11 Feb
Ngasa here to stay, say giants Yanga
Young Africans leadership wants Mrisho Ngasa to put his overseas ambitions on hold and sign a new contract with the Jangwani Street team.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania